Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Dawa ya deni ni kulipa na si kufedheheshwa kwenye vyombo vya habari.Umeona ni deni kubwa wakati hapo akiuza asset moja au land cruiser zake mbili analipa deni
Wengi hata hayo mafao hawana.Wamep muda mpaka August achukue mafao yake Bungeni, atalipa.
Msukuma is very gentle, atalipa .
Sheria ya mafao inataka alipwe siku ya kustaafu/ kuvunjwa bunge na si kwa hisia zako.Wengi hata hayo mafao hawana.
Walishakopea tangu siku ya kwanza wanaingia bungeni.
Madeni kama haya ndio huwa yanaleta vita, mauaji huko jimboni na UCHAWA uliokithiri ili wapate pesa ya kulipa madeni
Hata akilipwa, hapati yeye inaenda kwenye deni.Sheria ya mafao inataka alipwe siku ya kustaafu/ kuvunjwa bunge na si kwa hisia zako.
Eti siasa za madawati na barabara ,Mambo za kawaida sana kwenye biashara .. kawaida sana...
Me nikajua inaenda kwenye B kumbe hicho cha mtoto..
Kuna mwamba wa Dar lux yeye alilamba kama B10 hivi ya Equity akapita hivi..
Mambo ya Biashara ni biashara siasa ni siasa....
Kama unaweza fanya biashara hizi siasa za Madawati na barabara ni urojo urojo sana
Sasa kama ni njaa mbona wanakimbilia huko ?Hata akilipwa, hapati yeye inaenda kwenye deni.
Hata madiwani ni hivyo hivyo.
Huwa wakipata tu, nafasi wanakopea hayo maslahi wanalipa madeni ya uchaguzi.
Wengi ni njaa kali mdio maana wanayumba kila siku, misimamo njaa