beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Dkt. Oscar Kikoyo Ishengoma amesema Sheria ya Bima hususan kwenye makosa yanayotokana na ajali za barabarani ina matatizo makubwa.
Amesema, "Ukisoma hii Sheria, ajali inapotokea barabarani Jeshi la Polisi watapima, Kesi itapelekwa Mahakamani Hukumu itoke kisha Mhanga aiambitishe ili kwenda kudai fidia"
Ameeleza, "Tatizo kubwa ni Mhanga wa ajali anapokwenda kudai ile fidia, Sheria ya Bima ipo kimya. Kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima. Hatuwatendei Haki watu wetu"
Amesema, "Ukisoma hii Sheria, ajali inapotokea barabarani Jeshi la Polisi watapima, Kesi itapelekwa Mahakamani Hukumu itoke kisha Mhanga aiambitishe ili kwenda kudai fidia"
Ameeleza, "Tatizo kubwa ni Mhanga wa ajali anapokwenda kudai ile fidia, Sheria ya Bima ipo kimya. Kiasi anachoenda kulipwa ni maamuzi ya Kampuni ya Bima. Hatuwatendei Haki watu wetu"