Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
WanaJF,
Bunge la 11 lina visa vyake vingi ila kwa leo napenda nije na hiki cha mbunge kisu na mrembo kuliko wabunge wote bungeni, nae sio mwingine bali ni Bona Kaluwa (mb), ambae ni mbunge wa jimbo la Segerea kwa tiketi ya CCM..
Huyu mtoto mzuri ndiye amemgalagaza vibaya Mtatiro jimboni Segerea. Sema hii mada haitaki tujiingize sana kwenye majeraha ya kampeni, badala yake mada hii inataka tupongeze na kusifu uumbaji wa bwana.
Jionee mwenyewe:
View attachment 307387
Weka picha akiwa jukwaani anahutubia na mijasho inamtoka, sio hizi zilizofanyiwa editing studio.
