Mbunge 'Kisu' kuliko wote bungeni!

sura sio kigezo cha uzuri weka full pics tuangalie kma yaleee mambo yetu yapo......mpododo wa haja anao neema za allah

Teh teh teh hapa umenikumbusha Alhaj Sheikh Kipozeo,anakwambia mtoto Ana mpododo aw hatari ukiwa ndani ya pedo.
 
Mkuu huyo mbona namfaham huku chini ni flat screen

Hahahaha basi hakuna kitu hapo,mambo yote chini na nyuma. Sio anakuwa na Miguu kama stand za kamera halafu nyuma hakuna kitu.
 
360 inawazuzua vijana....mie nshamuina luve hamna kitu, sura ka mgongo wa ngamia
 
Mzuri sana

how sure are you....si ajabu miguu yake ni myembamba kama ya mbu besides beauty is relevant. Mimi sioni uzuri hapo ukizingatia hiyo picha ni ya ujanani sana. Picha yake ya sasa ni huyo kulia.

 
Mkuu vp tena naona kuna mtu anakuleta fujo ngoja niite washkaji wa ara chuga

Mkuu wax niite mimi mwenyewe! Arachuga ndo maskani....

Fanya upesi , wew mwenyewe unaelewa hii baridi ya chuga ilivyo
 
Last edited by a moderator:

Anaoneka bibi kabisa huyu...Ok anyway tumetofautiana kuangalia Uzuri wa mwanamke.
 

- Ni mke wa MWanasheria maarufu mjini hapa Kaluwa so tuwe na heshima kidogo.

Le Mutuz Nation
 

Acha nsepe najionea ujinga mtupu
 

Attachments

  • 1449047551491.jpg
    11 KB · Views: 730
how sure are you....si ajabu miguu yake ni myembamba kama ya mbu besides beauty is relevant. Mimi sioni uzuri hapo ukizingatia hiyo picha ni ya ujanani sana. Picha yake ya sasa ni huyo kulia.



teh teh teh teh teh yaani huyo wa kulia ndiye mzuri kuliko wabunge wote??? teh teh teh teh mbona libibi kabisa hilo
 

Vipi kuhusu Juliana Shonza???
 
- Badala ya kujadili uwezo wake na amefikaje hapo alipo tunajadili uzuri wake? DDuh sometimes JF inasikitisha sana!!

le Mutuz

Ndio maana linaitwa CELEBRITIES FORUM na mleta mada ameleta huku...angekuwa ana nia ya kujadili Uwezo wake basi sina shaka angepeleka JUKWA LA SIASA....hahahaha you know?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…