Mbunge kusimama Bungeni kutaka Rais aongezwe muda wa kukaa madarakani. Je, Umewasiliana na waliokutuma uwawakilishe hapo Bungeni au ni mawazo yako?

Naona kamoshi kanafuka. Tusubiri kuona moto. Matayarisho yalianzia uchafuzi wa serikali za mitaa.
 
Habari za muda huu Mama D!
 
Jamani siku zoote tusemeni INSHAALLAH kwa tafsiri ya haraka haraka ni : ni panapo majaaliwa yake Mwenyezimungu,nyiye munapanga yenu na hamjui ALLAH kapanga nini.
 
Maana kelele hizi za kutaka Rais abaki madarakakani si kwamba ni kweli mnampenda abaki kwa sababu amefanya mazuri kuliko walio pita hapana bali kwa sababu mnajua kabisa kubaki kwake madarakani ndio kubaki kwenu madarakani

Listening to a standard 2 absconder at school ...
 
Yule ni mzee au Bazazi mmoja tu alievimbiwa pesa za walipa kodi, haya majitu sijui huwa yanaokotwa wapi
 
Afadhali umemshauri kama akiuvaa huu mkenge atakuja kujuta siku za mbeleni
 
Tupo tuliomtuma mm n mmojawapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…