Kuna takukiru iliyo hiru?leo hii andenhenye amesamehewa ,ina maa shitaka lake walilosema takukuru lipo limefutwa.
Sasa.huu ni mpanho wa vionhozi wa chadema wasiingie kwenye kampeni za uchaguzi kwa kupelekwa mahakamani,au kuchafuliwa kuwa wamekula pesa za wabunge ili kampeni.zao ziwe chafu.
Ni mapanho umerayibiwa siyo lijuakali ni YISS na takukiru lijuali kali anatumika tu
Kasome tena bila haraka ya jazba utaelewa. Ubaguzi wao ndio waanza kutia shaka.
RAMLI?
Kwa kuamua wewe nani atakuzuia ?!. Ok tuseme mtatumia wakurugenzi kufikia uhalifu huo, Je ni swala la kujivunia ?!. Shindana bila kutegemea mbeleko
Kesi ya Lugola nayo imefikia wapi Kiongozi
Uyu lijualikali awe na akiba ya maneno aisee jamaa mlopofu mnooo....
Kama kashindwa kuyasema na kuyatetea huko, hayo yaliyojaa kifuani mwake yatabakia ni porojo tu, hata akijiliza hadharani. Chuki zake kwa Mbowe zitamtesa yeye mwenyewe.Lijualikali anajua mengi ya hapo Ufipa sema tu hana kifua!
Kwa kura yako moja?.
Mkuu mambo ya uhasibu ni professional sio siasa, ni lazima uwe na elimu ndio uelewe.Wapo ambao hata hawakusoma wanajua ,umeonesha uwezo mdogo sana kupambanaua mambo
Sio ishu ya nani anachunguza hapa tunajadili tuhuma ambazo PCCB wamesema wanachunguza kufuatia madai ya wabunge wa chadema wewe unaleta ukilaza wako hapa. Mpuuzi wewe
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
UVCCM, huwa mnajisikiaje kwamba sie tuki deconstruct masuala yanayofanywa na viongozi wenu tunakamatwa, lakini ninyi hata muwatukaneje kina Mbowe mpo mnapakatwa tuu…Wachaga kila kwenye upigaji wapo.
Na Mbowe akipona jeraha la kuanguka kwenye ulevi ataitwa Takukuru??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] paskali aamua kujitetea.Usiamini kila unachosikia!. Hivi uliamini nimeshauri Twitter na jf zifungwe?!.
Sikiliza nilichosema.
P
Wapo kisiasa tu, niambie kesi ya Mnyeti iliishia wapu?Tuhuma zimetoka huko huko na kila tuhuma lazima ichunguzwe nyie mkipewa nchi mtakuwa watu wa namna gani
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Mimi pia Silinde na Rwakatare wamenisikitisha sana.Dr Slaa, Zito, Kitila hawa wote walikua vigogo ndani ya chadema lakini wameondoka bila kulalamikia ufujaji pesa pale cdm,......
Hawa vijana walioondoka awamu hii ya Magufuli sijui wamejifunza wapi kutukana waliowatoa jalalani.
Lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!
Moderator kama uzi huu uko separate kwanini ule wangu wa Rais wa Mbeya uliunganishwa ? naogopa kusema umefanya njama maana naheshimu sana Jf ila unapaswa kujipima mwenyeweMbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.
Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.
Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.
Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.
Source Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Dogo acha uoga.Moderator kama uzi huu uko separate kwanini ule wangu wa Rais wa Mbeya uliunganishwa ? naogopa kusema umefanya njama maana naheshimu sana Jf ila unapaswa kujipima mwenyewe
Nimemsitua moderator asije kuonekana analipwa na polepole , hata ule wangu ulihusu wanahabari kukanyaganaDogo acha uoga.
Uzi huu unazungumzia mahojiano ya mbunge wa Kilombero mh Lijualikali na waandishi wa habari!
Taarifa hii inajitegemea na Lijualikali ni mbunge wa CCM usisahau hilo!