johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Sugu alikuwa anawakimbia wasimuulize maswali.Nimemsitua moderator asije kuonekana analipwa na polepole , hata ule wangu ulihusu wanahabari kukanyagana
Lijualikali na Silinde ndio walikubali kuhojiwa kila mmoja kwa wakati wake!