Mbunge Lijualikali ahojiwa na TAKUKURU. Adai wabunge wa CHADEMA wamejipanga kudanganya lakini hawatafanikiwa!

Sasa Mayala hapa unajitetea nini na ukichoongea mbona ni kile kile, au hujui tafsiri ya maneno. Sijaona tofauti ya kufuta na kutosoma, ulikuwa unashindwa tu kutamka ifutwe, lakini ukiaangalia ulimi wako ulikuwa unaelekea huko
Kati ya freedom zote duniani, the only absolute freedom ambayo haina mipaka ni freedom to think.
Naheshimu uhuru wako.
P
 
Tuliza mumkari,police wanafanya uchunguzi wewe footage za Cctv za nini mapema hii? Ila hoja yangu ni kuwa tunapotumia platform yoyote lazima tuwe tunaweka hoja zenye ukweli.
 
Jana baada ya kutoka kuhojiwa na TAKUKURU ulijitokeza kwenye vyombo vya habari ukitujulisha kuwa TAKUKURU wanamajibu yote kuhusu mahojiano wanayoyafanya kwa wabunge wa Chadema hivyo watakaodanganya watakuwa wanajisumbua! Ikiwa na maana ukweli uko upande wa waliotoka Chadema na si vinginevyo!

Maneno hayo unataka kutuaminisha kuwa kinachoendelea ni igizo tu! Huenda wewe na wenzako mnaijua hata adhabu itakayopewa Chadema! Swali langu kwa Lijualikali, unataka kutuaminisha kuwa TAKUKURU imekwisha pewa maelekezo ya upande mmoja?
 
We jamaa unachekesha sana! yaani mtu aibe hela za umma halafu asisemwe eti kisa wewe utakua disappointed!! hell no!! lazima Takukuru wafanye kazi yao kwa uhuru na DJ awajibishwe.
Haya mahojiano hayahusu pesa za ruzuku inayopewa Chadema, fuatilia wanayoandika wenzako ndipo nawe uingie kwenye ligi.
 
Sikujua kama namjibu msoma magazeti kwa kupindua

Ukiwa mpunbavu ni ngum sana kuelewa, kwani hizo pesa walizokuwa wanachanga zilikuwa zinatokana na kilimo cha mbunge, kumbuka zinatokana na malipo ya utumishi wa umma ingawa anaweza kuzitumi anavyojua yeye,

pia ukubuke azimio la kuchanga halikuwa la matumizi ya mtu kama mbowe bali zilitakiwa kutumika katika taasisi ya umma amabyo ni chama cha wananchi, kwa hiyo ikiingia kwenye mfuko wa chama haiwezi kuwa tena ya mtu mmojammoja na ndo maana iliwekewa utaratibu wa matumizi,
Na endapo yatabadilishwa matumizi basi kuliwekwa chombo cha maamuzi na sio mtu na genge lake.

Kwa hiyo ujue hizo pesa zikishachangwa kwenye chama sio za mbunge tena ni za umma na matumizi lazima yapangwe na kamati husika
Jitambue.
 
Njaa ni kitu kibaya sana ndugu!
 

Tatizo hukuona kuna watu watakuwa walienda navielelezo ma wengine walienda na makoti tu, sasa ukionhea bila vielelezo wakati official documents zipo basi unaonkana ni porojo tu,
Kuna swali moja ti hata wewe unawez kuulizwa,
Je uliwahi kujua kama Chadema wana ma trekta ya kulimia mashamba? Au uliwahi kulisikia katika sera zao?
Lakini hayo matrekta ni mali ya chadema
Na wakibisha basib yataifishwe.
 
Mkakati wa kwanza ili ni kumnyamazisha mwenyekiti kwa muda.. Na wamefanikiwa
 
Wewe unawambia TAKUKURU kama nani?
 
Mkuu Tindo, kwanza nianze kwa kukushukuru, much respect, pili nimefarijika sana na ukosoaji wako, ni very objective, nami pia nikiri no one is perfect, na mimi pia I'm only human.

Hoja yangu ya kilichoendelea Twitter ni was distasteful to some of us,
  1. Kwanza asante kukifuatilia kipindi cha Jicho Letu, thanks for appreciation ya my inputs, tunaomba mawazo yenu ili tukiboreshe zaidi na zaidi.
  2. Humu jf mimi nimejibainisha ni mtu critique, mkosoaji mkubwa wa rais Magufuli lakini nakosoa responsibly
  3. Hivyo unaweza kukosoa responsibly kwa kutumia lugha za kistaarabu bila kutukana au lugha za kuudhi.
  4. Ku tundika secret documents za kuliaibisha taifa, hivyo pamoja na yote, tutumie mitandao responsibly kwa kutanguliza mbele utaifa
  5. Wewe Mkuu Tindo, you have the powers not only to read in between the lines, but to listen in between the words kwa kubaini thoughts of unspoken words, you are right on me!.
Watu kama wewe ni asset na ndio mnaweza kulisaidia taifa. Thanks for this.
P
 
Sasa Mayala hapa unajitetea nini na ukichoongea mbona ni kile kile, au hujui tafsiri ya maneno. Sijaona tofauti ya kufuta na kutosoma, ulikuwa unashindwa tu kutamka ifutwe, lakini ukiaangalia ulimi wako ulikuwa unaelekea huko
Duh...!. Speechless, naomba yaishe, tuendelee na mengine!.
P
 
Katiba ya CDM kama ilivyo katika taasisi nyingine za umma inampa Mwenyekiti wa chama mamlaka ya kubadili vifungu na matumizi ya fedha, labda tu kama na katiba nayo itakuwa haimtambui mwenyekiti au iwe ni batili, Lakini kwa mazingira yaliyopo hilo suala Mbowe ana ruhusa ya kikatiba hivyo hii kesi kwa Mbowe ni nyepesi kabisa! Ana uwezo hata wa kubadili matumizi ya RUZUKU ya serikali na hakuna wa kumpeleka kokote! Rejea madai mbalimbali ya tuhuma alizokuwa akituhumiwa Mrema NCCR Mageuzi na hata huko TLP kuhusu matumizi ya ruzuku, Mrema ameshatuhumiwa mara kadhaa kuhusishwa na kutafuna ruzuku lakini hakuwahi kushitakiwa na hata kwenye migogoro hiyo alishinda! Nachokiona hapa, Ni wabaya wa Mbwe na CDM wameamua tu kulikuza suala na kuliuza kwenye vyombo vya habari ili tu Mbowe na CDM wachafuke kwa faida ya wapangaji wa pale ikulu, lakini mwisho wa yote Mbowe hatokuwa na hatia labda tu kwa njama hizi za sasa za kubambikizana kesi za uhujumu uchumi!
 
Huyo Mpuuzi Lijualibutu ndio kashajizika kisiasa HATOBOI Oct 2020.
 
Posho mkuu,
Issue ni kuzuiwa kuhudhuria kikao ambacho kina posho. Kwenye hela akili huwekwa kando
 
Huyu Lijualikali na genge lake wataumbuka tu muda unakuja! Kama hawaiamini hata TAKUKURU si wafunguwe tu kesi mahakamani moja kwa moja!?? Haingii akilini kila uchao unakaa unabwabwaja wakati umeshajiona una ushahidi! Alafu baada ya hii kesi wabunge hawa nao wafunguliwe kesi ya kukiuka kiapo cha uaminifu wa kutotoa nje siri za chama, hili ni kosa kisheria!
 
Uchunguzi unapofanyika si sahihi baadhi ya waliochunguzwa kutoa muelekeo wa matokeo ya uchunguzi, hii inaleta picha kuwa matokeo tayari yamepangwa, nadhani Takukuru alitakiwa kuwatahadharisha wahojiwa wote kutotoa kauli za mahojiano. Kwa bali ilivyo inaonesha kuwa Takukuru iko upande mmoja, Lijualikali amejuaje yaliyoko upande wa Takukuru kuwa inajua kilakitu? Refa anashirikiana na wachezaji wa upande mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…