Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
- Thread starter
- #21
Mambo haya utokea kila awamu, siamini afanyalo Bashe ni lake pekee, na mambo yako wazi na unaona baadhi ya wabunge wanajaribu kumuosha, mie Bashe amenitibua kitambo uwezi kutafuta mapato kwa mazao ya chakula yaendayo nje hadi kukosa soko,
Awamu ya 6 ni ya mafisadi