Mbunge Luhaga Mpina ameamua kumtii Mwl Julius Nyerere?

Mambo haya utokea kila awamu, siamini afanyalo Bashe ni lake pekee, na mambo yako wazi na unaona baadhi ya wabunge wanajaribu kumuosha, mie Bashe amenitibua kitambo uwezi kutafuta mapato kwa mazao ya chakula yaendayo nje hadi kukosa soko,

Awamu ya 6 ni ya mafisadi
 
Sasa kuwabiruta kotini
 
Hakuna kijana jeuri mpina ni mnafiki na mzandiki Genge La mwendazake. Alikuwa anachoma nyavu za wavuvi na kuwafilisi wacha karma ifanye kazi
 
Hakuna kijana jeuri mpina ni mnafiki na mzandiki Genge La mwendazake. Alikuwa anachoma nyavu za wavuvi na kuwafilisi wacha karma ifanye kazi

Mchungaji Msigwa nae amenunuliwa na mwendazake?
 
Kongole sana ndugu koryo1952 ,umeandika mambo ya msingi sana.
Tatizo ni hao wanaopaswa kutenda haya, hawana mpango wa kuyatenda.
CCM "imebaka" taasisi na vyombo vyote vya uendeshaji nnchi.
 
Kongole sana ndugu koryo1952 ,umeandika mambo ya msingi sana.
Tatizo ni hao wanaopaswa kutenda haya, hawana mpango wa kuyatenda.
CCM "imebaka" taasisi na vyombo vyote vya uendeshaji nnchi.

Uko sahihi mkuu
 
Safi kabisa MwanaCCM mwenye ubongo.

Wachumia tumbo wa kijana na manjano hawatakuelewa kabisa wao kazi kulamba viatu na matako ya bwana zao ili wapate kula.
 
Nahisi hayo maneno ya Mwl.Nyerere yatakuwa yamefichwa sana, na wewe mleta mada umejitahidi sana kuyapata. Mamlaka zilizopo hazitaki vijana waone hiyo kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…