delta_state
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 170
- 107
Wameondoka wakina slaa sembuse hao..wapite hukoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upya sio waswas wala mhusikaMkuu mbona umepatwa na wasi wasi kwani unamjua muhusika?
Chadema tunapata wabunge sababu ya sera mzuri za chama chetu,siyo kama nyie na chama chenu chakavu miaka 54 lkn hakuna mlichokifanyaSubiri tuone!
Pole sana jiunge kwenye kilimo.
Mimi nimeanza kuamini nyinyi ccm mnarogana mtu afe ili upate cheo wewe, hivi kusikia tu DC wa Babati kapata ajali na wengine wanasema kafa ndio umeamuwa kujitoa akili hivi ili kuvizia hiyo nafasi ya Udc wa Babati? Poor you.Umejuaje mkuu taarifa unazo?
Cdm ni kisima cha wabunge machachari tuTusubiri! Umejuaje ni Mnyika? Una taarifa nini?
Naona unajipa hofu na wasiwasi mwenyeweMkuu pole sana
Mvua zitanyesha tuu usijali.
Mijitu mingine yaani unaandika gazeti zima kisa kuingiza buku 2?Kweli kabisa.
Freeman Aikael Mbowe!Mkuu mbona umepatwa na wasi wasi kwani unmjua anaye ongelewa?