Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
Wasalaam wana jamvi!

Niendelee kuwatakia sikukuu njema ya amani na furaha miongoni mwenu!

Wana jamvi kama mtakumbuka siasa za tanzania zilitikiswa mwaka jana kama mara tatu hivi
Mara ya kwanza ilikuwa ni mtuhumiwa wa ufisadi kuhami upande mwingine..wengi hawakutegemea kama atapokelewa.

Mara ya pili ilikuwa kwa nguli wa siasa na Mzalendo Dr Slaa kumwaga manyanga chanzo ikiwa ni kupinga ujio wa mtuhumiwa wa ufisadi kwenye chama chao na hakuwa tayari kushiriki dhambi ya kumsafisha!

Tatu ilikuwa ni pale Prof Msomi na nguli wa uchumi alipo kataa kushiriki dhambi ya kumsafisha mtuhumiwa wa ufisadi na kuamua kumwaga manyanga!

Sasa kabla ya tarehe 24 nchi itatekwa tena na taharuki ya aina yake baada ya mbunge kijana na machachari kuvunja ukimya na kuamua kumwaga manyanga!
Taarifa zinasema mbunge huyo amekuwa kimya kwa kipindi kirefu sana na amekuwa akizushiwa anaumwa ili ionekane hiyo ni sababu kuu!

Hata hivyo amekuwa akipata wakati mgumu sana hasa pale anapo lazimishwa kutoa matamko ili ionekane yupo pamoja nao na amekuwa akikataa na kusema sitaki kuongea na kusema fulani aongee..

Jambo hili limekuwa likiwatesa sana watu wake ndani ya umoja wao na chama chao kwani ukimya wake umekuwa ukizua maswali mengi na wamejaribu kila mbinu za kumlazimisha aongee lakini wameshindwa!

Jambo la kumlazimisha aongee limekuwa likimkera sana na amekuwa akiwa sisitiza kuwa yeye amechagua kunyamaza wasi mlazimishe!

Kibaya zaidi kuna mpango wa kumlazimisha kuongea kwenye mkutano fulani tarehe 24 ambao bado haujawa confirmed! Lakini baada ya kupata habari kuwa amepangwa kuongea na kusema hataki na wasimlazimishe kwani umoja una watu wengi wa kuongea!

Sasa habari zilizopo ana mpango wa kuongea na ataongea kinacho muumiza kabla ya tarehe 24 na atamwaga manyanga na kuachana na ubunge kabisa na kwenda kusoma nje ya nchi....

Baada ya viongozi wake kupata habari hizo wanahaha kumzuia asiongee huku wakitaka kujua anataka kuongea nini na wanampango wa kuhakikisha aengei chochote na wameshambembeleza sana lakini amesimama kuwa kwenye msimamo wako kuwa ataongea kabla ya tarehe 24!

Zina fanyika kila juhudi za kunusuru tukio hilo kwani wanasema litasambaratisha umoja huo kabisa.

Lakini amesisitiza kuwa hayuko tayari kushiriki siasa za kinafiki kamwe...!

Je watafanikiwa kumzuia?
Ni nani huyo?
Ataendelea kukaa kimya?
Ni kwañini hawataki aongee?

Wana jamvi muda huongea tusubiri!

Karibuni wana jamvi!
wewe na Lizabomu huwa mnawashwa sana
 
Ila kiukweli kwa sasa kuwa chadema ni ujasiri sana..maana wengine tuligombana hadi na walezi wetu kwa kujifanya tuna misimamo dhidi ya wezi na mafisadi wa nchi hii..leo hii aibu tupu
 
Amwage....kamwaga Dr slaa sembuse yeye.....
 
Aondoke Tu. Wanaume wazima,wanajiita makamanda,wanamkimbia mdada mrembo,beauty with brain. Mnazira kikao cha bajeti mwezi mzima? Tuliwachagua kufanya nini?
 
Wasalaam wana jamvi!

Niendelee kuwatakia sikukuu njema ya amani na furaha miongoni mwenu!

Wana jamvi kama mtakumbuka siasa za tanzania zilitikiswa mwaka jana kama mara tatu hivi
Mara ya kwanza ilikuwa ni mtuhumiwa wa ufisadi kuhami upande mwingine..wengi hawakutegemea kama atapokelewa.

Mara ya pili ilikuwa kwa nguli wa siasa na Mzalendo Dr Slaa kumwaga manyanga chanzo ikiwa ni kupinga ujio wa mtuhumiwa wa ufisadi kwenye chama chao na hakuwa tayari kushiriki dhambi ya kumsafisha!

Tatu ilikuwa ni pale Prof Msomi na nguli wa uchumi alipo kataa kushiriki dhambi ya kumsafisha mtuhumiwa wa ufisadi na kuamua kumwaga manyanga!

Sasa kabla ya tarehe 24 nchi itatekwa tena na taharuki ya aina yake baada ya mbunge kijana na machachari kuvunja ukimya na kuamua kumwaga manyanga!
Taarifa zinasema mbunge huyo amekuwa kimya kwa kipindi kirefu sana na amekuwa akizushiwa anaumwa ili ionekane hiyo ni sababu kuu!

Hata hivyo amekuwa akipata wakati mgumu sana hasa pale anapo lazimishwa kutoa matamko ili ionekane yupo pamoja nao na amekuwa akikataa na kusema sitaki kuongea na kusema fulani aongee..

Jambo hili limekuwa likiwatesa sana watu wake ndani ya umoja wao na chama chao kwani ukimya wake umekuwa ukizua maswali mengi na wamejaribu kila mbinu za kumlazimisha aongee lakini wameshindwa!

Jambo la kumlazimisha aongee limekuwa likimkera sana na amekuwa akiwa sisitiza kuwa yeye amechagua kunyamaza wasi mlazimishe!

Kibaya zaidi kuna mpango wa kumlazimisha kuongea kwenye mkutano fulani tarehe 24 ambao bado haujawa confirmed! Lakini baada ya kupata habari kuwa amepangwa kuongea na kusema hataki na wasimlazimishe kwani umoja una watu wengi wa kuongea!

Sasa habari zilizopo ana mpango wa kuongea na ataongea kinacho muumiza kabla ya tarehe 24 na atamwaga manyanga na kuachana na ubunge kabisa na kwenda kusoma nje ya nchi....

Baada ya viongozi wake kupata habari hizo wanahaha kumzuia asiongee huku wakitaka kujua anataka kuongea nini na wanampango wa kuhakikisha aengei chochote na wameshambembeleza sana lakini amesimama kuwa kwenye msimamo wako kuwa ataongea kabla ya tarehe 24!

Zina fanyika kila juhudi za kunusuru tukio hilo kwani wanasema litasambaratisha umoja huo kabisa.

Lakini amesisitiza kuwa hayuko tayari kushiriki siasa za kinafiki kamwe...!

Je watafanikiwa kumzuia?
Ni nani huyo?
Ataendelea kukaa kimya?
Ni kwañini hawataki aongee?

Wana jamvi muda huongea tusubiri!

Karibuni wana jamvi!
Hiki chama kinawasemaji wengi duh
 
ntahakikisha vijana wana pata ajira, na wanaendelea na masomo maana wanateseka -2015 wakati wa kampeni

vijana wale ni vilza watafute kwa kwenda 2016
kuna watoto wa viongozi walipata zero na wapo chuo kikuu tutawafukuza 2016
mtoto wa kiongozi aitwaye jesika aonekana Udom akiwa na cheti cha zero ya form foo 2016
Hatutoi ajira yoyote kwa muda wa miez miwili 2016
nimewachunguza hawa ma disii ninawajua kwa majina nawapa ajira ya udisii 2016
disii akataa kazi asema ataendelea kuwa meneja kanda ya ziwa. naye alichunguzwa? 2016
makada wa chama tena wasio na sifa nawapa ajira za udasi, 2016..
wanaolalamika hawana hela walizoea vya bure.. 2016

.................................. nk............. nk......

kufikia 2020 nadhani watu watakuwa wamebadiri misimamo , maana hawajui mkuu anachosema huwa anmaanisha au ni 'mizuka"
 
Maccm mnapataga faida gani kuuharibu upinzani?? Kueni jamani. Nchi bila upinzani haiongozekiiiiiiii. Ah! Yaani mna maudhi mpaka baasi tena.
Aseme atakalo. Aondoke kesho asubuhi. Tume ya uchaguzi ipime, muda ukifika turudi chunguni apikwe mwingine. Shida yenu ni kuona hakuna upinzani tena Tz au nini?? Mbona bunge mlibaki peke yenu, mliongeza nini au mlipunguza nini??
Tulikuwa na kina Tuntemeke Sanga kwenye bunge la chama kimoja, wapinzani kweli kweli. Wakashika shilingi, bajeti ikatikisika. Wako wapi, Leo si bado tupo?
Msiogope, hakuna njia kuwa upinzani utakufa. No, ukiondoka huu utaanza mwingine, hata ccm kwa ccm.
Mkuu mbona una wasi wasi sana?
 
Soma hiki kibonzo.
Msitu wenye nyasi za wastani unaitwa NYIKA.
Na kama mtu niwakabila fulani utasema:
Mchaga
Mmachame
Mnyiramba.
Je anaetoka kwenye kabila la WANYIKA angeitwaje?
Je umeshamjua mbunge mwenyewe?
Teh Teh
 
Sasa kama yule dk alibwaga manyanga na hakutikisa chochote, huyo anajisumbua bure tu!!...
 
Sasa tusimpangie muda na tarehe ya kuongea hii ni nchi ya demokrasia!

Kila siku tunakesha na kulala tukiomba ni lini tamko la mheshimiwa la kilo moja ya sukari itaanza kuuzwa kwa sh. 1800,we unaamka na kutuletea porojo kila siku.OK,kwani Dr. Slaa alivyoondoka amepunguza nini au ameongeza nini kwenye maisha yangu au yako?Walishatimka wanasiasa wakongwe sembuse Mnyika?hayo maajabu.
 
Kila siku tunakesha na kulala tukiomba ni lini tamko la mheshimiwa la kilo moja ya sukari itaanza kuuzwa kwa sh. 1800,we unaamka na kutuletea porojo kila siku.OK,kwani Dr. Slaa alivyoondoka amepunguza nini au ameongeza nini kwenye maisha yangu au yako?Walishatimka wanasiasa wakongwe sembuse Mnyika?hayo maajabu.
Mkuu kaanzishe uzi wake nitakujibu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom