Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Mbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo

Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana

Mbunge Mama Masaburi amesisitiza watu hao wanafahamika hata Yeye nyumbani kwake angekuwa anakaa na shoga angemnyongelea mbali huko au angehama kabisa kukaa nae

Mbunge Mama Masaburi amesisitiza kuna ukakasi gani viongozi kukemea suala hilo na hata bungeni kuna ukakasi kutokana kuna wabunge na Viongozi wanajihusisha na Mapenzi ya jinsia moja

Aanze na Betina na Mariam ..kabla hajaenda kwa wale wa c19
 
Dunia ya sasa inaelekea kutekwa na watu wenye mtazamo wenye kuruhusu binadamu kuchagua jinsia akiwa mtu mzima na baadaye kujibadilisha kama kinyonga..... Jee! tutaiga kama ilivyo kawida yetu waafrika au tutakuwa na msimamo utakao uokoa ulimwengu?....
 
Mtu nadhifu, msomi, mcheshi, mtoa hoja zilizoshiba, ila sasa neno "shoga" linamdhalilisha. Ukiambiwa ni huyu "hutaamini"
 
Mbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo

Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana

Mbunge Mama Masaburi amesisitiza watu hao wanafahamika hata Yeye nyumbani kwake angekuwa anakaa na shoga angemnyongelea mbali huko au angehama kabisa kukaa nae

Mbunge Mama Masaburi amesisitiza kuna ukakasi gani viongozi kukemea suala hilo na hata bungeni kuna ukakasi kutokana kuna wabunge na Viongozi wanajihusisha na Mapenzi ya jinsia moja
Najiuriza tu ile Sheria ya myaka 30 jera katungiwa Nani??
Tutafute Hera ndugu yangu
 
Nimeamini hili suala linapigwa promo kiaina.

Kwanini daily ni habari za LGBTQIA tu?
Hata mimi naona tayari malengo ya promo yamefanikiwa.

Mwanzoni mijadala ya ushoga ilikuwa mitandanoni. Ghafla ikaingia mitaani mfano vijiweni. Baadae hadi ofisi za umma watu wanajadili ushoga. Kwa sasa hadi bungeni.

Halafu unakuta huyo mama anapromo kwa kujihami eti atamnyonga mwanae.

Chakusangaza, ni watu wachache sana ndio wanakuja na suluhisho la ushoga na usagaji. Wengi ni kubwatuka tu wakati wana watoto nyumbani. Je, wanafahamu njia za kuwalinda watoto wao wasije kuwa mashoga na wasagaji? Kwani kuna mzazi anafurahia mtoto wake kuwa shoga na msagaji?

Kuna uzi humu jamaa alieleza jinsi alivyoingia katika ushoga, unaona kabisa hatari ipo hata kwa watoto wako kama haujui njia za kuwakinga.
 
Hata mimi naona tayari malengo ya promo yamefanikiwa.

Mwanzoni mijadala ya ushoga ilikuwa mitandanoni. Ghafla ikaingia mitaani mfano vijiweni. Baadae hadi ofisi za umma watu wanajadili ushoga. Kwa sasa hadi bungeni.

Halafu unakuta huyo mama anapromo kwa kujihami eti atamnyonga mwanae.

Chakusangaza, ni watu wachache sana ndio wanakuja na suluhisho la ushoga na usagaji. Wengi ni kubwatuka tu wakati wana watoto nyumbani. Je, wanafahamu njia za kuwalinda watoto wao wasije kuwa mashoga na wasagaji? Kwani kuna mzazi anafurahia mtoto wake kuwa shoga na msagaji?

Kuna uzi humu jamaa alieleza jinsi alivyoingia katika ushoga, unaona kabisa hatari ipo hata kwa watoto wako kama haujui njia za kuwakinga.
Tumwombe sana Mungu atujalie hekima ili tuweze kuwalea Watoto wetu vyema katika maadili mema.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom