OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Masaburi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmojawapo ni mwakilishi wakoKwa kuwa wanaogopana kutajana huko basi tuwataje hapahapa jamii forum ili tuanze kuwashughulikia kimyakimya ambao hatupendi huu upumbafu.Nawakaribisha wanaowafahamu wawataje na iwe kweli
Tumeanza kuwajua hao mashoga kupitia michango yaoMama umepuyanga kidogo wewe kuendana na mgongano wa wa maelezo haya
Kuna % kubwa umezaa mashoga sio kwa maelezo hayo, sorry kwa kusema haya Ila huo ndio uhalisia wa mambo
Hakuna bunge hapa zaidi ya vikao vya chamaBunge linazidi kujidhalilisha
Ova
Bora kifokolewe sana. Sikikubali hata roboEh na huyu march first asee hiivn shda kubwa[emoji35][emoji35][emoji35]
Sio kweli, kwahiyo corona iliongezeka baada ya kuisema sana.Wa
Wazungu Ni wajanja wametega bomu wakakaa mbali wakatuacha sisi peke yetu tutangaze na kuhamasisha Jambo hili kupitia katika kila platform
Za kisiasa, kidini, mashuleni, mitandao yote ya kijamii n.k.
Huko mbwinde ambako hawajui hata Nini Mana ya Ushoga Sasa wanajua na watoto ambao wako katika umri wankujaribu nao kwa kiasi kikubwa wanaanza na watajaribu Sana! Miongoni mwao wapo watakaoendelea na wapo watakaoacha kwahiyo community hiyo itajiongezea wanachama na sisi tutapoteza wanachama!
Mathalani Jumapili ya Pasaka makanisa yote yamezungumzia swala Hilo! Unadhani kwa kiasi gani wamenflunce waamini wenye umri mdogo na mkubwa kujaribu?
Hii ni spinning ya makusudi kwa malengo maalumHizi habar za ushoga zinachosha sasa!
Usikute mwenyewe [emoji304]waziri wa habari na mawasiliano ndio mwenye jukumu hilo la kupinga ushoga ? Waziri wa mambo ya ndani anafanya nini
Ile ni pandemic (natural outbreak)Sio kweli, kwahiyo corona iliongezeka baada ya kuisema sana.
Mwenyewe naniUsikute mwenyewe [emoji304]
[emoji1784][emoji2961]Wewe hutaki?
Akili yako ni ya kitoto sana hebu aacha tabia za ushoga, et shoga hataki asemwe, pumbavu kabsa, sasa tutaweka na mabango kabsa ya kupinga ushoga tuone sasa baada ya miaka miwili kama idadi itaongezeka au lah, na wenye akili ya pesa tutaanzisha NGO za kupinga ushoga kuwaelimisha vijana, watoto madhara ya ushoga halafu tuone hilo ongezeko kama litakuwepo.Ile ni pandemic (natural outbreak)
Hili Ni human caused
Shuleni mnasomea ujinga au mnahudhuria madarasa!
Unakinganisha pandemic na human behavior?
Yani janga Kama Ugonjwa unafananisha na tabia za watu?
Nakushauri acha mhemuko hii sio fb Ni GT fb!Akili yako ni ya kitoto sana hebu aacha tabia za ushoga, et shoga hataki asemwe, pumbavu kabsa, sasa tutaweka na mabango kabsa ya kupinga ushoga tuone sasa baada ya miaka miwili kama idadi itaongezeka au lah, na wenye akili ya pesa tutaanzisha NGO za kupinga ushoga kuwaelimisha vijana, watoto madhara ya ushoga halafu tuone hilo ongezeko kama litakuwepo.
##KATAA USHOGA KIJANA.
Waziri uliyemlaumu kuwa hatimizi wajibu wake kupinga ushoga.Mwenyewe nani
[emoji2962][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Mbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo
Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana
Mbunge Mama Masaburi amesisitiza watu hao wanafahamika hata Yeye nyumbani kwake angekuwa anakaa na shoga angemnyongelea mbali huko au angehama kabisa kukaa nae
Mbunge Mama Masaburi amesisitiza kuna ukakasi gani viongozi kukemea suala hilo na hata bungeni kuna ukakasi kutokana kuna wabunge na Viongozi wanajihusisha na Mapenzi ya jinsia moja