Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Kwa kuwa wanaogopana kutajana huko basi tuwataje hapahapa jamii forum ili tuanze kuwashughulikia kimyakimya ambao hatupendi huu upumbafu.Nawakaribisha wanaowafahamu wawataje na iwe kweli
Mmojawapo ni mwakilishi wako
 
Mama umepuyanga kidogo wewe kuendana na mgongano wa wa maelezo haya
Kuna % kubwa umezaa mashoga sio kwa maelezo hayo, sorry kwa kusema haya Ila huo ndio uhalisia wa mambo
Tumeanza kuwajua hao mashoga kupitia michango yao
 
Kwakuwa mimi Mtoto wa Shule nina akili timamu, siwezi kuongelea suala la ushoga aidha kwa kulipinga au kwa kulikubali!
 
Yaan umuue mtu kwa sababu ni shoga??? Kwamba wewe ni mkamilifu kiasi gan mpaka umuue???

Siungi mkono ushoga hata kidogo ila siwezi kufuruhia kuuwawa kwa mtu kisa shoga
 
Wa

Wazungu Ni wajanja wametega bomu wakakaa mbali wakatuacha sisi peke yetu tutangaze na kuhamasisha Jambo hili kupitia katika kila platform
Za kisiasa, kidini, mashuleni, mitandao yote ya kijamii n.k.

Huko mbwinde ambako hawajui hata Nini Mana ya Ushoga Sasa wanajua na watoto ambao wako katika umri wankujaribu nao kwa kiasi kikubwa wanaanza na watajaribu Sana! Miongoni mwao wapo watakaoendelea na wapo watakaoacha kwahiyo community hiyo itajiongezea wanachama na sisi tutapoteza wanachama!

Mathalani Jumapili ya Pasaka makanisa yote yamezungumzia swala Hilo! Unadhani kwa kiasi gani wamenflunce waamini wenye umri mdogo na mkubwa kujaribu?
Sio kweli, kwahiyo corona iliongezeka baada ya kuisema sana.
 
Sio kweli, kwahiyo corona iliongezeka baada ya kuisema sana.
Ile ni pandemic (natural outbreak)
Hili Ni human caused
Shuleni mnasomea ujinga au mnahudhuria madarasa!
Unakinganisha pandemic na human behavior?
Yani janga Kama Ugonjwa unafananisha na tabia za watu?
 
Ile ni pandemic (natural outbreak)
Hili Ni human caused
Shuleni mnasomea ujinga au mnahudhuria madarasa!
Unakinganisha pandemic na human behavior?
Yani janga Kama Ugonjwa unafananisha na tabia za watu?
Akili yako ni ya kitoto sana hebu aacha tabia za ushoga, et shoga hataki asemwe, pumbavu kabsa, sasa tutaweka na mabango kabsa ya kupinga ushoga tuone sasa baada ya miaka miwili kama idadi itaongezeka au lah, na wenye akili ya pesa tutaanzisha NGO za kupinga ushoga kuwaelimisha vijana, watoto madhara ya ushoga halafu tuone hilo ongezeko kama litakuwepo.

##KATAA USHOGA KIJANA.
 
Akili yako ni ya kitoto sana hebu aacha tabia za ushoga, et shoga hataki asemwe, pumbavu kabsa, sasa tutaweka na mabango kabsa ya kupinga ushoga tuone sasa baada ya miaka miwili kama idadi itaongezeka au lah, na wenye akili ya pesa tutaanzisha NGO za kupinga ushoga kuwaelimisha vijana, watoto madhara ya ushoga halafu tuone hilo ongezeko kama litakuwepo.

##KATAA USHOGA KIJANA.
Nakushauri acha mhemuko hii sio fb Ni GT fb!
Soma statement yako ya kwanza!
Una hakika Mimi Ni mtoto au unahisi na Kama unahisi huoni Kama wewe Ni zuzu na Kama una hakika huoni wewe Ni mpumbavu unaargue na mtoto kwenye hoja kuntu zinazohusu maisha ya kesho ya nchi hii?

Unaniambia niache tabia za kishoga, huoni Kama unanikosea. Yani unafanya character assasination badala yankujibu maswali ya msingi tu kuhalalisha na kushamirisha hoja yako?

Kwa akili yako ndogo kwamba mtu akisoma bango la kupinga ushoga automatically anaacha ushoga! Huko mlikofundishwa kwamba mabango yanajenga ushawishi waliwang'oa akili na uwezo wa akili! Swala la kupinga ushoga linahitaji holistic and integrated approach mzee!

Swala la kusema wanaongezeka au watapungua Ni swala la kuwa na takwimu sahihi kuwa ushoga unaendelea kuongezeka au kupungua. Ni vyema ungeiambia serikali yako ifanye periodic survey kujua idadi ya mashoga na wasagaji halafu baada ya ninyi kubeba mabango mfanye Tena periodic survey sababu swala la ushoga halikua kwenye sensa!
Kwa taarifa yako
Speaker atokanaye na chama chako na serikali yako amepiga stop mjadala wa ushoga kwa kusema serikali imeshasikia! Uko hapo!
Ninyi mnapinga ushoga kwa nadharia kwa sababu you are part and parcel of it
 
Mbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo

Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana

Mbunge Mama Masaburi amesisitiza watu hao wanafahamika hata Yeye nyumbani kwake angekuwa anakaa na shoga angemnyongelea mbali huko au angehama kabisa kukaa nae

Mbunge Mama Masaburi amesisitiza kuna ukakasi gani viongozi kukemea suala hilo na hata bungeni kuna ukakasi kutokana kuna wabunge na Viongozi wanajihusisha na Mapenzi ya jinsia moja
[emoji2962][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Huyo mama natafuta picha yake naijengea fremu naiweka sebuleni, ile nyingine naitupilia huko
 
Kati ya vitu ambavyo havihitaji akili ni ngono au kujamihiana. Kwa sababu ni tendo lisilohitaji akili, upeo, werevu au hekima, ndiyo maana mbwa hujamihiana, fisi hujamihiana, nzi hujamihiana, mijusi hujamihiana, hata minyoo na konokono hujamihiana.

Kwa binadamu, watu wengi wajingawajinga, muda mwingi hujadili na kufikiria ngono au mambo yanayohusiana na ngono.

Hata Bungeni, ukifuatilia, wale wabunge ambao hawana uelewa mkubwa na hawana uwezo wa kujenga hoja kwenye mambo makubwa ya msingi, mara nyingi wakijitutumua kutaka kuuliza swali au kuchangia, wataongelea masuala ya ngono, voungo vinavyohusiana na ngono au mambo yanayohusiana na ngono.

Kuna mbunge mmoja wakati fulani aliwahi kukomalia kuwa bunge lijadili wanaume wenye mkono wa sweta, na ikiwezekana wabunge wanaume wachunguzwe kwa sababu ana uhakika wengine wana mikono ya sweta. Ukifuatilia upeo wa huyo mbunge, unagundua ni zero brain. Cha ajabu eti ni kiongozi pia wa mkoa wa CCM. Ukifuatilia utagundua jimboni kwake kuna matatizo lukuki, watu wake hawana hata chakula, hawana hospitali, hawana shule, wana vipato duni, lakini yeye, kwa ujinga tu, amebakia na hadithi za mikono ya sweta alizookoteza mitaani. Ukimwuliza, mikono hiyo ya sweta inachangia vipi wananchi wake kukosa maendeleo, hana hata jibu.

Mwingine aliwahi kutamka kuwa kama wanawake watagundua waume zao wanachelewa kurudi majumbani, wawape adhabu ya kuwanyima unyumba. Halafu naye huyo, ni kiongozi wa CCM wa mkoa.

Mwingine leo anasema eti kila.mbunge kabla ya kuingia bungeni apimwe kama amewahi kulawitiwa, yaani maana yake na yeye anataka kupimwa. Na kumjua anayelawitiwa, ni lazima daktari aingize mkono kwenye njia ya haja kubwa. Kwa hiyo, inamaanisha huyo mbunge anataka yeye aingizwe mkono, na ili asiwe pekee yake anataka na wabumge wengine wote wafanyiwe hivyo. Huenda kwa akili yake ndogo, anaona likikubaliwa hilo, wale wote wenye akili timamu hawatakuwa tayari kudhalilishwa kwa mtindo huo kwa sababu ya ubunge, hivyo yeye ataendelea kuwa mbunge pamoja na wenzake wengine waliokosa akili.
 
Back
Top Bottom