Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hakuna cha masharti ya mganga bali ni tabia tu na maumbileLabda kwa masharti ya mganga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha masharti ya mganga bali ni tabia tu na maumbileLabda kwa masharti ya mganga.
Kwa upepo unavyo kwenda kwa speed ya kisuri suri naona kabisa wanaweza kutajwa.Hao wabunge mashoga si watajwe sasa? Tuwajue na wavuliwe ubunge.
...bila kusahau wasagaji piaHao wabunge mashoga si watajwe sasa? Tuwajue na wavuliwe ubunge.
Sipati picha wasagaji wale wanaojulikana wanajisikiaje pale mjengoni...bila kusahau wasagaji pia
Kasema ukweli alitaka Kuusema. Sioni ubaya Wacha apasue TankNa spika kamuachia ateme nyongo
Linatajwa tajwa sanaNimeamini hili suala linapigwa promo kiaina.
Kwanini daily ni habari za LGBTQIA tu?
Au kile cha mjumbe wa nyumba 10Kikao cha familia
Mafusadi n wengi na wana nguvu nyingi kuliko mashogaKumbe hata ufisad unaweza kushughulikiwa wawakilishi wetu censors za ghadhabu zinafanya vizuri.
Tuwe sasa kama tx dulla, ufisadi uunganishwe na ushoga!
Kimsingi sijamtaja mtu yeyote kwa Jina Ila katika bandiko langu nimeeleza Mazingira wezeshi au wezekana kwa Jambo Hilo kuwepo miongoni mwa waheshimiwa wabunge!Kwani Halima na Esta niliowataja ndiyo hao unaowafahamu na wewe?
Ni mstari upi unaonesha mwisho wa ukaribu tusaidie!Ukaribu wao uliopitiliza ndiyo unatia shaka
Hivi soko la Mwandiga lilishajengwa?Yupo Sahihi
100%
Wanazidi kujikanganyaUkisema Masaburi si ndio unamaanisha makalio, baada ya mmewe kuwatukana wabunge wa Dsm kuwa wanatumia makalio kufikiria?
Unataka kusema corona ilikuwa inasambaa kwa kasi sababu ya kuisema dunia nzimaNimeamini hili suala linapigwa promo kiaina.
Kwanini daily ni habari za LGBTQIA tu?
Wewe hutaki?Nimeamini hili suala linapigwa promo kiaina.
Kwanini daily ni habari za LGBTQIA tu?