Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Kumbe hata ufisad unaweza kushughulikiwa wawakilishi wetu censors za ghadhabu zinafanya vizuri.
Tuwe sasa kama tx dulla, ufisadi uunganishwe na ushoga!
 
Kumbe hata ufisad unaweza kushughulikiwa wawakilishi wetu censors za ghadhabu zinafanya vizuri.
Tuwe sasa kama tx dulla, ufisadi uunganishwe na ushoga!
Mafusadi n wengi na wana nguvu nyingi kuliko mashoga
 
Kuhusu wizi wa kina januari, madelu, mbarawa, nape, yule msomali na washirika wao wamesemaje huko bungeni? Mada isihamishwe tafadhali
 
Mimi binafsi nimeifuatilia sana kiasi fulani ni hoja, lakini naomba kuwauliza maana wanapoongea wanasema wapimwe kabla ya kuingia bungeni na wanasema wao ni kioo cha jamii ni kweli kabisa kama mambo yote yangekuwa yanaenda yanavyotakiwa.
Je upimaji huu unaosemwa utakuwa unawekwa wazi kwa umma ili ukioo cha jamii udhiilike wazi kwa umma ?
Na kama si hivyo hautakuwa umetusaidia sisi kama umma.
Zaidi tuendelee kuupinga ushoga kwa nguvu zetu zote popote tulipo.
 
Kama mnalitaka Jimbo la Tarime Vijijini na la Mpna si mseme tu, naona mnazunguuka.
 
Kwani Halima na Esta niliowataja ndiyo hao unaowafahamu na wewe?
Kimsingi sijamtaja mtu yeyote kwa Jina Ila katika bandiko langu nimeeleza Mazingira wezeshi au wezekana kwa Jambo Hilo kuwepo miongoni mwa waheshimiwa wabunge!

Wabunge hawatoki kwenye sayari ya Mars! Wabunge wanaishi na sisi uraiani Ni wananchi wenzietu! Ila kwa clues nilizoelezea uwezekano unakua mkubwa kuliko kutokua!

Wewe umewataja kwa majina moja kwa moja ndio Mana swali langu una ushahidi wowote ambao Leo ukiitwa uthibitishe bila mashaka yoyote utauweka wazi?

Na Kama utakua tayari Ni vyema ukauweka hapa, vinginevyo ungeondoa hayo majina na kuweka anyonymit ya hao wahusika kwa sababu Ni hisia tu na Wala halijawahi kuthibitishwa na yeyote!

Ukomavu wa fikra na mawazo Ni kuwasilisha Jambo kwa umma ambalo unajua Ni kweli na una uhakika nalo pasina Shaka yoyote!
 
Kwa lugha nyingine anamaanisha sisiemu kumejaa machokoraa, bunge lina % kubwa ya wabunge wa sisiemu
 
Back
Top Bottom