Gachuma jr
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 839
- 451
Aisee dah makubwa......!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nimelisema kwenye Uzi huu Kama comment! Kafara zimehama kutoka kwenye damu mpaka kubanduliwaKuna mwaka 2000 mmoja alinieleza nimpindue kwamba ndio masharti kapewa na mganga ili ashinde ubunge,
Anajua sana wabunge wake wanabokoana kinomaNdo maana Mwenyekiti kasema wasiharibu watoto....waharibiane wenyewe Kwa wenyewe watu wazima..
🤣
NaamMbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo
Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana
Mbunge Mama Masaburi amesisitiza watu hao wanafahamika hata Yeye nyumbani kwake angekuwa anakaa na shoga angemnyongelea mbali huko au angehama kabisa kukaa nae
Mbunge Mama Masaburi amesisitiza kuna ukakasi gani viongozi kukemea suala hilo na hata bungeni kuna ukakasi kutokana kuna wabunge na Viongozi wanajihusisha na Mapenzi ya jinsia moja
Unajua tukiacha ushabiki wa vyama hizi Ni strong allegations? Kuna ushahidi wa namna yoyote kwa maana ya picha, mazungumzo au faragha yoyote au kukiri kwa wahusika kuhusika na hiyo kitu?Halima anamsaga Esta
Ukaribu wao uliopitiliza ndiyo unatia shakaUnajua tukiacha ushabiki wa vyama hizi Ni strong allegations? Kuna ushahidi wa namna yoyote kwa maana ya picha, mazungumzo au faragha yoyote au kukiri kwa wahusika kuhusika na hiyo kitu?
Au kwakua wanaongozana sana?
Ukaribu kama wa Halima & Bulaya au ?Ukaribu wao uliopitiliza ndiyo unatia shaka
kwan hayo maneno si yalitamkwa na mtu kabisa! Tena akitembea kwa miguu kutoka huko alikokuwa kuwa? Au nazeeka vibayaMmmmh, we mzee, mimi nimezungumzia mambo ya MSAMAHA kama unakosea watu, kutaja imetokea wapi tena?
Ndiyo hao haoUkaribu kama wa Halima & Bulaya au ?
Mbona unakuwa tofauti!Ukisema Masaburi si ndio unamaanisha makalio, baada ya mmewe kuwatukana wabunge wa Dsm kuwa wanatumia makalio kufikiria?
Wajue wapi!Hawa wabunge wa kubebwa wanajua ethics za Bunge kweli?
Hizi ni tuhuma serious Kwa mhimili na kama hatua hazitachukuliwa itakuwa ni wazi kabisa wapo wa hivyo..
Hii ya kitoto wewe pusi! Kuna wabunge na "waandamizi" huko kwako "wanararuliwa"Ukaribu kama wa Halima & Bulaya au ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akikazia hapo kwenye VIONGOZI, kuna sehemu atafika..........utamsikia akisema, "....nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana....."
Wewe mpuuz popom@ unaelewa hata nilichoandika au ulikuwa unatoa udenda wakati huo Masaburi anawatukana wabunge wa Dsm?Mbona unakuwa tofauti!
Hupumuliwi kweli wewe?
Hoja ya maasaburi kuwatukana wabunge wa Dsm imetoka wapi hapa wewe anti?Wewe mpuuz popom@ unaelewa hata nilichoandika au ulikuwa unatoa udenda wakati huo Masaburi anawatukana wabunge wa Dsm?
Endelea kutumia Masaburi kufikiriaHoja ya maasaburi kuwatukana wabunge wa Dsm imetoka wapi hapa wewe anti?
Hoja hapa ni mama Masaburi kuongelea kuhusu ushoga anti!
Jikite ktk hoja iliyomezani wewe anti!
Anti wewe ndio unatumia hicho kitu "walichokiharibu" kufikiria!Endelea kutumia Masaburi kufikiria
Kwani Halima na Esta niliowataja ndiyo hao unaowafahamu na wewe?Unajua tukiacha ushabiki wa vyama hizi Ni strong allegations? Kuna ushahidi wa namna yoyote kwa maana ya picha, mazungumzo au faragha yoyote au kukiri kwa wahusika kuhusika na hiyo kitu?
Au kwakua wanaongozana sana?