DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 2,014
- 2,979
Kwamba halima mdee Ni Shoga au?Atauweza mziki wa Halima Mdee huyu mama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba halima mdee Ni Shoga au?Atauweza mziki wa Halima Mdee huyu mama?
Kama ilivyo
Kuna watu kuwaelewa inakua mtihani sana
WAPO HATA WANANCHI TUNAWAJUAMbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo
Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana
Mbunge Mama Masaburi amesisitiza watu hao wanafahamika hata Yeye nyumbani kwake angekuwa anakaa na shoga angemnyongelea mbali huko au angehama kabisa kukaa nae
Mbunge Mama Masaburi amesisitiza kuna ukakasi gani viongozi kukemea suala hilo na hata bungeni kuna ukakasi kutokana kuna wabunge na Viongozi wanajihusisha na Mapenzi ya jinsia moja
Kwa hyo umeitikia wito unaanza kuwataja ila kwa codes!Akikazia hapo kwenye VIONGOZI, kuna sehemu atafika..........utamsikia akisema, "....nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana....."
Marehemu hasemwi isipokuwa JiweUkisema Masaburi si ndio unamaanisha makalio, baada ya mmewe kuwatukana wabunge wa Dsm kuwa wanatumia makalio kufikiria?
Mmmmh, we mzee, mimi nimezungumzia mambo ya MSAMAHA kama unakosea watu, kutaja imetokea wapi tena?Kwa hyo umeitikia wito unaanza kuwataja ila kwa codes!
WAZIRI AKITOA KAULI NDIO SEREKALI IMESEMA, MKITAKA KILA KAULI ITOLEWE NA RAIS SASA WATEULE WATAKUWA WANAFANYA KAZI GANI?Huo ni msimamo wa nape na sio serikali
Kelele hazitasaidia mama, kama wamo bungeni au serikalini subiri vipindi vyao viishe ndipo muwashughulikie, kwa hivyo mlivyo hamuwezi kushughulikiana mkiwa wote ni familia ya kijaniMbunge Mama Masaburi amesisitiza watu hao wanafahamika hata Yeye nyumbani kwake angekuwa anakaa na shoga angemnyongelea mbali huko au angehama kabisa kukaa nae
Mbunge Mama Masaburi amesisitiza kuna ukakasi gani viongozi kukemea suala hilo na hata bungeni kuna ukakasi kutokana kuna wabunge na Viongozi wanajihusisha na Mapenzi ya jinsia moja
Simpendi Marope lakini unaenda mbali kumchafu jamaa. Una ushahidi? Au alikupanda wewe mwenyewe? Kama alikupanda weka ushahidi tukuamini.F Marope hivyo bado haujaelewa ? Extrovert emu muelezee huyu haelewi who is F Marope ?
Halima anamsaga EstaKwa kuwa wanaogopana kutajana huko basi tuwataje hapahapa jamii forum ili tuanze kuwashughulikia kimyakimya ambao hatupendi huu upumbafu.Nawakaribisha wanaowafahamu wawataje na iwe kweli
Wabunge wa CCMMbona ni wengi tu, mule bungeni wanaopinduliwa