Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha nashangaa hizi Mbulukenge kutangaza kwenye jengo takatifukama kuna dini na madhehebu yana makasisi wanaojiita watumishi wa Mungu lakini bado ni mashoga, unashangaa nini hawa mbulukenge mafisadi wakuu kuwa mashoga?
Naona hii imepenya vizuri sana, hadi kwenye mfupaHalima Mdee hiyo maada sijamsikia akichangia
wacha wajitangaze tu. Hizo mbulukenge zina madeni sana, inawezekana zinazofanya hayo mambo zilikopa huko kwa masharti kuwa lazima zianze kupigana pipe, si unajua kuna ma-ngo yenye mlengo huo?Hahaha nashangaa hizi Mbulukenge kutangaza kwenye jengo takatifu
nilimwona anajidai kuzugazugaHalima Mdee hiyo maada sijamsikia akichangia
Ahsante.mimi nitajitolea kuwashughulikia ili tuudhibiti huu uharifu .ongezea wengine unaowafahamu.Halima anamsaga Esta
Unapoiga chapuo WAACHANE NA USHOGA ili kuwalinda CCM na si kuyalinda maadili ya jamii yetu eti?Huenda hivi vita mlivyoanzisha vikawa vigumu hasa pale Mbunge anaposimama mbele ya bunge tukufu la wana-CCM na kukiri kuwa Kuna wabunge wenye tabia hizo.
Hizi sio taarifa nyepesi hata kidogo, japo mambo haya yamezungumzwa ndani ya Bunge ila ni muhimu Mwenyekiti wa CCM akemee wabunge wake waachane na USHOGA.
Kumbe wanawasingizia CHADEMA Bure wakati wao ndio vinara .
Video hii hapa, kama huna bando ni tatizo lako sasa sio Mimi tena.
Angalizo, Moderator msifute ushahidi huo hapo
View attachment 2586163
UONGO UONGO UONGOKuna mwaka 2000 mmoja alinieleza nimpindue kwamba ndio masharti kapewa na mganga ili ashinde ubunge,
Spika amlazimishe kuchangia ili maoni yake yasikike.nilimwona anajidai kuzugazuga
Hebu Rudia Tena Mpwa!Unapoiga chapuo WAACHANE NA USHOGA ili kuwalinda CCM na si kuyalinda maadili ya jamii yetu eti?
CCM Wana Siri nyingi sanaNdo maana Mwenyekiti kasema wasiharibu watoto....waharibiane wenyewe Kwa wenyewe watu wazima..
🤣
Kwani nae ni mbunge? Kwa mujibu wa katiba?Halima Mdee hiyo maada sijamsikia akichangia
Nilidhani angeshurutishwa awataje hahahaha ukute ni kwelihizi ni tuhuma nzito sana
Hata stone alikuwa shogaF Marope hivyo bado haujaelewa ? Extrovert emu muelezee huyu haelewi who is F Marope ?
Hawa wabunge wa kubebwa wanajua ethics za Bunge kweli?
Hizi ni tuhuma serious Kwa mhimili na kama hatua hazitachukuliwa itakuwa ni wazi kabisa wapo wa hivyo..
Duh,kumbe ni kweli wawili hawa ni mwili mmoja