Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Jambo la Ajabu Sana Bunge la Tz, kujadili Ajenda za Bunge la wazungu,na Ajenda za Western ' Hapa Hakuna maana yoyote ya kuongelea huo upuuzi hatujafika fika huko' Ila mnavyo jadili Ni kawa mnatoa attention au airtime kwa vitu ambavyo having maana njia sahihi Ni kupuuza na kuachia vyombo huska vya kurekebisha maadili kudeal kimya kimya' leo Michele 1kg Ni 3500 lakini watu wenye Akili na taaluma wanaacha kujadili gharama za maisha wanajadili Ajenda za wazungu, Ambao kwa makusudi wameamua kuchagua maadili mabovu'
Leo hii wengi wao hata Mungu kwao hawamwamini'
Tuache hizi Mada Gharama za maisha zipo juu' tujadili hayo.
Wewe nenda ukalime ujue kazi ya kulima ilivyo ngumu. Kwa nini umpangie mkulima bei? Huku umekaa mjini kazi kuandika nyenyenyenye kwenye mitandao badala ya kwenda kulima
 
Mashoga wote ni waabudu shetani,kosa kubwa lililosababisha Lucifer kufukuzwa mbinguni na kutupwa duniani ni ushoga. Lucifer alikuwa shoga, alipokaripiwa na Mungu juu ya tabia yake ya kuingiliwa kinyume cha maumbile ndiyo akawashawishi mashoga wenzake wakaasi wakataka kufanya mapinduzi ndiyo Mungu akona enough is enough,akamwamuru Mikael malaika jemadari na malaika watiifu ampige Lucifer na mashoga wenzake kisha wakatupwa duniani. Hivyo muelewe kuwa mashoga wote ni waabudu shetani.
 
Yupo Sahihi
100%
Hapanaaa!,mambo ya faraghani watu wamekaa na wezi,waongo,wazinzi,wasengenyaji na kadhalika na watu wao WA karibu hawajui,kwa hili hakuna kujitoa tuhimize watu wawe wafuasi WA amri za Allah maana kwa .nguvu za manadamu Yale ya sodoma yatatuhusu!.
 
WAZIRI AKITOA KAULI NDIO SEREKALI IMESEMA, MKITAKA KILA KAULI ITOLEWE NA RAIS SASA WATEULE WATAKUWA WANAFANYA KAZI GANI?

WAZIRI AKITOA KAULI NDIO SEREKALI IMESEMA, MKITAKA KILA KAULI ITOLEWE NA RAIS SASA WATEULE WATAKUWA WANAFANYA KAZI GANI?
waziri wa habari na mawasiliano ndio mwenye jukumu hilo la kupinga ushoga ? Waziri wa mambo ya ndani anafanya nini
 
Back
Top Bottom