Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
CCM imeelekeza kutumia hii kwa ajili ya kufunika mjadala wa matokeo ya uchunguzi wa mkaguzi mkuu.Nimeamini hili suala linapigwa promo kiaina.
Kwanini daily ni habari za LGBTQIA tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM imeelekeza kutumia hii kwa ajili ya kufunika mjadala wa matokeo ya uchunguzi wa mkaguzi mkuu.Nimeamini hili suala linapigwa promo kiaina.
Kwanini daily ni habari za LGBTQIA tu?
Wewe nenda ukalime ujue kazi ya kulima ilivyo ngumu. Kwa nini umpangie mkulima bei? Huku umekaa mjini kazi kuandika nyenyenyenye kwenye mitandao badala ya kwenda kulimaJambo la Ajabu Sana Bunge la Tz, kujadili Ajenda za Bunge la wazungu,na Ajenda za Western ' Hapa Hakuna maana yoyote ya kuongelea huo upuuzi hatujafika fika huko' Ila mnavyo jadili Ni kawa mnatoa attention au airtime kwa vitu ambavyo having maana njia sahihi Ni kupuuza na kuachia vyombo huska vya kurekebisha maadili kudeal kimya kimya' leo Michele 1kg Ni 3500 lakini watu wenye Akili na taaluma wanaacha kujadili gharama za maisha wanajadili Ajenda za wazungu, Ambao kwa makusudi wameamua kuchagua maadili mabovu'
Leo hii wengi wao hata Mungu kwao hawamwamini'
Tuache hizi Mada Gharama za maisha zipo juu' tujadili hayo.
Hapanaaa!,mambo ya faraghani watu wamekaa na wezi,waongo,wazinzi,wasengenyaji na kadhalika na watu wao WA karibu hawajui,kwa hili hakuna kujitoa tuhimize watu wawe wafuasi WA amri za Allah maana kwa .nguvu za manadamu Yale ya sodoma yatatuhusu!.Yupo Sahihi
100%
WAZIRI AKITOA KAULI NDIO SEREKALI IMESEMA, MKITAKA KILA KAULI ITOLEWE NA RAIS SASA WATEULE WATAKUWA WANAFANYA KAZI GANI?
waziri wa habari na mawasiliano ndio mwenye jukumu hilo la kupinga ushoga ? Waziri wa mambo ya ndani anafanya niniWAZIRI AKITOA KAULI NDIO SEREKALI IMESEMA, MKITAKA KILA KAULI ITOLEWE NA RAIS SASA WATEULE WATAKUWA WANAFANYA KAZI GANI?
Kwahiyo anakula au analiwa yule?Umeme, umeme, umeme, umeme,
Mwenye code afungue [emoji16]
ANAKULA tu yaani ni topKwahiyo anakula au analiwa yule?
Kumbeee?Hivi kumbe kuna bunge
Bunge la ccmHivi kumbe kuna bunge
Hoja ipi hiyo baabu?Naunga mkono hoja
Kwenye upumbavu huo nitoe kabisa mbakie nyinyiTu wapumbavu sana
Acha niishie hapo tu.
Na spika kamuachia ateme nyongoMama Hip Hop kweli kweli.
Wacha tusubiri tuone michango yaoHata humu jf wapo hao unaowazungumzia mwenyekiti
Utawaona jinsi watakavyo changia uzi huuKAbsa inabidi kukemea kwa nguvu na kuchukua hatua