Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

Kati ya vitu ambavyo havihitaji akili ni ngono au kujamihiana. Kwa sababu ni tendo lisilohitaji akili, upeo, werevu au hekima, ndiyo maana mbwa hujamihiana, fisi hujamihiana, nzi hujamihiana, mijusi hujamihiana, hata minyoo na konokono hujamihiana.

Kwa binadamu, watu wengi wajingawajinga, muda mwingi hujadili na kufikiria ngono au mambo yanayohusiana na ngono.

Hata Bungeni, ukifuatilia, wale wabunge ambao hawana uelewa mkubwa na hawana uwezo wa kujenga hoja kwenye mambo makubwa ya msingi, mara nyingi wakijitutumua kutaka kuuliza swali au kuchangia, wataongelea masuala ya ngono, voungo vinavyohusiana na ngono au mambo yanayohusiana na ngono.

Kuna mbunge mmoja wakati fulani aliwahi kukomalia kuwa bunge lijadili wanaume wenye mkono wa sweta, na ikiwezekana wabunge wanaume wachunguzwe kwa sababu ana uhakika wengine wana mikono ya sweta. Ukifuatilia upeo wa huyo mbunge, unagundua ni zero brain. Cha ajabu eti ni kiongozi pia wa mkoa wa CCM. Ukifuatilia utagundua jimboni kwake kuna matatizo lukuki, watu wake hawana hata chakula, hawana hospitali, hawana shule, wana vipato duni, lakini yeye, kwa ujinga tu, amebakia na hadithi za mikono ya sweta alizookoteza mitaani. Ukimwuliza, mikono hiyo ya sweta inachangia vipi wananchi wake kukosa maendeleo, hana hata jibu.

Mwingine aliwahi kutamka kuwa kama wanawake watagundua waume zao wanachelewa kurudi majumbani, wawape adhabu ya kuwanyima unyumba. Halafu naye huyo, ni kiongozi wa CCM wa mkoa.

Mwingine leo anasema eti kila.mbunge kabla ya kuingia bungeni apimwe kama amewahi kulawitiwa, yaani maana yake na yeye anataka kupimwa. Na kumjua anayelawitiwa, ni lazima daktari aingize mkono kwenye njia ya haja kubwa. Kwa hiyo, inamaanisha huyo mbunge anataka yeye aingizwe mkono, na ili asiwe pekee yake anataka na wabumge wengine wote wafanyiwe hivyo. Huenda kwa akili yake ndogo, anaona likikubaliwa hilo, wale wote wenye akili timamu hawatakuwa tayari kudhalilishwa kwa mtindo huo kwa sababu ya ubunge, hivyo yeye ataendelea kuwa mbunge pamoja na wenzake wengine waliokosa akili.
Inakuwa kama huo mchezo mchafu unafanyiwa promoshen ya nguvu !!
 
Kati ya vitu ambavyo havihitaji akili ni ngono au kujamihiana. Kwa sababu ni tendo lisilohitaji akili, upeo, werevu au hekima, ndiyo maana mbwa hujamihiana, fisi hujamihiana, nzi hujamihiana, mijusi hujamihiana, hata minyoo na konokono hujamihiana.

Kwa binadamu, watu wengi wajingawajinga, muda mwingi hujadili na kufikiria ngono au mambo yanayohusiana na ngono.

Hata Bungeni, ukifuatilia, wale wabunge ambao hawana uelewa mkubwa na hawana uwezo wa kujenga hoja kwenye mambo makubwa ya msingi, mara nyingi wakijitutumua kutaka kuuliza swali au kuchangia, wataongelea masuala ya ngono, voungo vinavyohusiana na ngono au mambo yanayohusiana na ngono.

Kuna mbunge mmoja wakati fulani aliwahi kukomalia kuwa bunge lijadili wanaume wenye mkono wa sweta, na ikiwezekana wabunge wanaume wachunguzwe kwa sababu ana uhakika wengine wana mikono ya sweta. Ukifuatilia upeo wa huyo mbunge, unagundua ni zero brain. Cha ajabu eti ni kiongozi pia wa mkoa wa CCM. Ukifuatilia utagundua jimboni kwake kuna matatizo lukuki, watu wake hawana hata chakula, hawana hospitali, hawana shule, wana vipato duni, lakini yeye, kwa ujinga tu, amebakia na hadithi za mikono ya sweta alizookoteza mitaani. Ukimwuliza, mikono hiyo ya sweta inachangia vipi wananchi wake kukosa maendeleo, hana hata jibu.

Mwingine aliwahi kutamka kuwa kama wanawake watagundua waume zao wanachelewa kurudi majumbani, wawape adhabu ya kuwanyima unyumba. Halafu naye huyo, ni kiongozi wa CCM wa mkoa.

Mwingine leo anasema eti kila.mbunge kabla ya kuingia bungeni apimwe kama amewahi kulawitiwa, yaani maana yake na yeye anataka kupimwa. Na kumjua anayelawitiwa, ni lazima daktari aingize mkono kwenye njia ya haja kubwa. Kwa hiyo, inamaanisha huyo mbunge anataka yeye aingizwe mkono, na ili asiwe pekee yake anataka na wabumge wengine wote wafanyiwe hivyo. Huenda kwa akili yake ndogo, anaona likikubaliwa hilo, wale wote wenye akili timamu hawatakuwa tayari kudhalilishwa kwa mtindo huo kwa sababu ya ubunge, hivyo yeye ataendelea kuwa mbunge pamoja na wenzake wengine waliokosa akili.
Wabunge kazi yao kubwa ni kuwasilisha matatizo yaliyoko kwenye jamii zao, haiwezekani wote wakaongelea jambo moja, mkuu haujui madhara ya mkono wa sweta? Mkuu haujui madhara ya ushoga? lazima yaongelewe kwa nguvu sana ndipo yataondoka bila hivyo yataongezeka, kukaa kimya sio suruhisho, kitu kibaya lazima kitangazwe ili kila mtu ajue ubaya wake.
 
Kimsingi sijamtaja mtu yeyote kwa Jina Ila katika bandiko langu nimeeleza Mazingira wezeshi au wezekana kwa Jambo Hilo kuwepo miongoni mwa waheshimiwa wabunge!

Wabunge hawatoki kwenye sayari ya Mars! Wabunge wanaishi na sisi uraiani Ni wananchi wenzietu! Ila kwa clues nilizoelezea uwezekano unakua mkubwa kuliko kutokua!

Wewe umewataja kwa majina moja kwa moja ndio Mana swali langu una ushahidi wowote ambao Leo ukiitwa uthibitishe bila mashaka yoyote utauweka wazi?

Na Kama utakua tayari Ni vyema ukauweka hapa, vinginevyo ungeondoa hayo majina na kuweka anyonymit ya hao wahusika kwa sababu Ni hisia tu na Wala halijawahi kuthibitishwa na yeyote!

Ukomavu wa fikra na mawazo Ni kuwasilisha Jambo kwa umma ambalo unajua Ni kweli na una uhakika nalo pasina Shaka yoyote!
Nakuuliza wewe tena hao Halima na Esta niliowataja unawajua?
 
Habari ya huyu dogo kweli au wameamua kumchafua tu?
IMG_20230414_095733.jpg
IMG_20230414_095811.jpg
 
Yaani hawa wezi wa mabilioni yetu ni kama wamefanikiwa kwa kiasi fulani.
Ripoti ya CAG imekoma kujadiliwa. Tumeachiwa ushoga tuhangaike nao!
 
Mi naanza kuwataja: wawili wako ndani ya Covid-19. Mmoja ni Naibu Waziri akitokea Zanzibar. Mwingine ni DC lakini amewahi kuwa Katibu Itikadi na Uenezi wa chama fulani. Mwingine ni Katibu Mkuu wa chama fulani. Endeleeni
 
The least I know sijawahi kutana na Masai zeruzeru, sijui wanachofanya japo siungi mkono kwenye hili hata nikijua wanachofanya, japo ningejua natamani ingetumika kwa machoko..
 
Mijadala ya kujadili mashoga na ushoga inatia kinyaa sana, bora wangezidi kujikita kwenye ufisadi, ubadhirifu na upotevu wa fedha za umma na sio hao machoko yaliyokorea laana ya kukandwa kwenye tundu la kutolea uchafu.

Ifikie mahala mijadala ya namna hii ife tusiupe promo uchafu wa namna hii, cha msingi wazazi wa pande zote mbili wawajibike katika malezi yenye maadili kwa watoto zao
Haiwezeka kukaa kimya hili ni janga kuu isitolewe nafasi hata kidogo ya kuachia huu uchafu ushamiri waharibifu ni wengi mno ukipuuzia gonjwa hili laweza piga hodi nyumbani kwako
 
Back
Top Bottom