Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Yaani hata hawabadiliki....Bunge la budget
Asema pia alidanganya amefungwa.Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Ikiwa mnyonge umeisha mnyonga, haki ya nini tena?Kuna biashara za familia na zake mwenyewe, anaongelea biashara zake, akaunti zake.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, ebo!!
Mbowe amezoea kuishi kwa uwongo anawadanganya wajinga pale ufipa ila ccm haiweziMbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Kuzikwa pia ni haki yakeIkiwa mnyonge umeisha mnyonga, haki ya nini tena?
Hao ndio wanaosema hakuharibiwa bustani zake.,hakufungwa,hakufungiwa biashara.Sijui ni nani aliyetoa wazo la kuivunja billcanas mi moja ya wazo bovu kufanywa tokea ile siku ndipo nilijua kuwa tz hatuna mipango bali siasa chafu unavunja asset ambayo waliweza kumpangisha mtu wao wakaona bola wavunje ili wazungushe mabati na pesa wakose[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbaya zaidi hilo jengo lilijengwa na baba yake Mbowe, Nyerere alilitaifisha akawapa NHC.Sijui ni nani aliyetoa wazo la kuivunja billcanas mi moja ya wazo bovu kufanywa tokea ile siku ndipo nilijua kuwa tz hatuna mipango bali siasa chafu unavunja asset ambayo waliweza kumpangisha mtu wao wakaona bola wavunje ili wazungushe mabati na pesa wakose[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wanazidi kudemka.Bunge la budget
Wanazidi kudemka.