Mbunge: Mbowe alidanganya Watanzania, Biashara zake hazikufungwa na Serikali bali Wanafamilia yake

Mbunge: Mbowe alidanganya Watanzania, Biashara zake hazikufungwa na Serikali bali Wanafamilia yake

Haya mazombie bado yanaendelea na upuuzi wao wa kujadili watu badala ya kujadili hoja zilizowapeleka pale.
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Huyo Ngonyani ni waziri wa biashara?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.

kwani aliposema biashara zake zilifungwa , nani alishtuka nchini?
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Kama suala ni uongo basi niulizie kwa nini Mh. Waziri mkuu alitudanganya wananchi kuwa Mh. Rais Magufuli ni mzima na anaendelea kuchapa kazi km kawaida ilihali akijua ni uongo?
 
Jackline ngonyani namfahamu amemtaka mbowe kimapenzi kwa muda mrefu sana na jamaa kamtolea nje sishangai anapotoa tuhuma hizi kwa mbowe. Pole sana jack
Kwahyo bi dada ndo kusema anatumia kodi zetu kulilia wivu badala ya kutema madini bungeni?
 
Dj fly to KIA baby.

Hela zote amelewa konyagi na kuanguka nyumbani kwa hawara Joyce Mkuya.

Nyumbu wanashangilia tu
 
Siku hizi jukwaa la siasa sio la kujadili hoja bali limekuwa jukwaa la mipasho na kutukanana tu.........
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Viti maalum visinhekuwapo kikatiba tungekuwa hatusikii UHARO wa wadada kama huyu Ngonyani.

Tu assume kweli Mbowe alikuwa mpangaji kwenye nyumba za NHC, tu-assume vile vile kuwa alikuwa halipi deni la Serikali.

LAKINI TUJIULIZE, kweli ile ilikuwa ni AKILI au MATOPE ya Serikali ya Magufuli kubomoa lile jengo?

Je njia zinginne za Serikali kupata kodi yake zilikwisha hadi inaonekana kubomoa ndiyo suluhisho?

Kama ndivyo tutabomoa majengo ya wapangaji wangapi ambao wanadaiwa na Serikali?

Mwendazake ilikuwa ni LAANA na nafuu imeondoka ndani ya miaka 5 kabla haijaharibu uchumi wa nchi yetu nzuri.
 
Bwanaa wee nyie binukeni laleni chuchumaeni ila hali iliyokuwepo hakuna aliyekuwa haioni.
 
Mbowe alisema akaunti zimefungiwa siyo biashara.

Huyo mbunge hata akiulizwa Bills ilikuwa mtaa gani hajui.
Yeye angepambana kuwatetea wakulima wa mahindi wa Songea na barabara na madaraja ya Lizaboni,Mfaranyaki,Mpitimbi na Ndelenyuma.
Haya ndio maudhi ya Ubunge wa viti maalumu. Ni gharama isiyo na maana kwa walipa kodi
 
Back
Top Bottom