SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Haya mazombie bado yanaendelea na upuuzi wao wa kujadili watu badala ya kujadili hoja zilizowapeleka pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Ngonyani ni waziri wa biashara?Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Bunge la budget
Hahahahahahahahahahaha......Kuongea hivo tayari 240,000 imeingia...
Siasa zinalipa sana.
Kama suala ni uongo basi niulizie kwa nini Mh. Waziri mkuu alitudanganya wananchi kuwa Mh. Rais Magufuli ni mzima na anaendelea kuchapa kazi km kawaida ilihali akijua ni uongo?Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Kwahyo bi dada ndo kusema anatumia kodi zetu kulilia wivu badala ya kutema madini bungeni?Jackline ngonyani namfahamu amemtaka mbowe kimapenzi kwa muda mrefu sana na jamaa kamtolea nje sishangai anapotoa tuhuma hizi kwa mbowe. Pole sana jack
Linajadili bajeti ya mbowe!! Shanzy taipu!!Bunge la budget
Akadanganya tena kuwa eti alifyekewa shamba lake,aiseeAsema pia alidanganya amefungwa.
Huyo mbunge anaye demka ni wa ccm?Michadema Koko sana badala ya kujadili mustakabali wa chama wanajadili mali ya mtu binafsi!!???
Very stupid
Viti maalum visinhekuwapo kikatiba tungekuwa hatusikii UHARO wa wadada kama huyu Ngonyani.Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Sadi sana,ndiyo hoja za bunge la bajeti!! Mwisho wa siku wote wanasema "ndiyoooo"Alianguka baa akadanganya wasiojulikana
Haya ndio maudhi ya Ubunge wa viti maalumu. Ni gharama isiyo na maana kwa walipa kodiMbowe alisema akaunti zimefungiwa siyo biashara.
Huyo mbunge hata akiulizwa Bills ilikuwa mtaa gani hajui.
Yeye angepambana kuwatetea wakulima wa mahindi wa Songea na barabara na madaraja ya Lizaboni,Mfaranyaki,Mpitimbi na Ndelenyuma.