Mbunge: Mbowe alidanganya Watanzania, Biashara zake hazikufungwa na Serikali bali Wanafamilia yake

Mbunge: Mbowe alidanganya Watanzania, Biashara zake hazikufungwa na Serikali bali Wanafamilia yake

Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Tatizo ujinga ndiyo una trend
 
Sijui ni nani aliyetoa wazo la kuivunja billcanas mi moja ya wazo bovu kufanywa tokea ile siku ndipo nilijua kuwa tz hatuna mipango bali siasa chafu unavunja asset ambayo waliweza kumpangisha mtu wao wakaona bola wavunje ili wazungushe mabati na pesa wakose[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Atakuwa ni jiwe tu, unafikiri nani anaweza kutoa wazo la kuharibu mali ya umma?
 
Mbowe alisema akaunti zimefungiwa siyo biashara.

Huyo mbunge hata akiulizwa Bills ilikuwa mtaa gani hajui.
Yeye angepambana kuwatetea wakulima wa mahindi wa Songea na barabara na madaraja ya Lizaboni,Mfaranyaki,Mpitimbi na Ndelenyuma.
Umamaliza kazi
 
Tabia yako ya kuleta habari za propaganda za maji taka hapa zitaharibu reputation yako.Huwezi kuleta habari fake kutoka kwa bunge fake ambalo wabunge wake ni fake waliotokana na uchaguzi fake wanaotoa hoja fake halafu ukawa upo seroius katika tasnia ya upashaji habari!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Haya haya. wale wa kumtetea Mwenyekiti wa kudumu wa CDM na mwenye utajiri wa kurithi na Uenyekiti wa kuzadiwa na baba mkwe waje kusema yao...😎😎😎
 
😂😂😂

Mbowe anadhurumu mirathi, sasa chama chetu atakiacha salama?
 
Kama mliweza kutuambia mtu mfu anapiga kazi ikulu amezungukwa na mafaili basi ni Mtanzania zuzu pekee anaye weza kuamini habari za ccm.
Mbowe sio saizi yenu MATAGA ninyi endeleeni Kudemka tuu
 
Namshukuru sana baba (RIP) kwa kunipeleka shule nzuri. Thank you Dad.
Money can be indispensable for life, but knowledge holds it's sublime.
 
Si ni jana tu wameambiwa wajadili bajeti! Hawa ni vichwa vya wendawazimu
 
hv wapinzani wakitoka twitter wanakuja huku eh?

haana haka ka_mtandao ka JamiiForums bhana na kenyewe kama siri nyingi si mchezo
 
Mbowe Sio bajeti hadi muanze kumjadili hapo bungeni naona jana mmeambiwa ila hamsikii vichwa vyenu vigumu sana nyie wabunge,mbowe ni bajeti hadi uanze kumjadili ?
 
JPM alitaka kuharibu kabisa hii nchi. Sasa huyu mbunge anaongea utadhani akili zimechukuliwa. Mbowe hayupo bungeni wanamjadili.
 
Mbowe amezoea kuishi kwa uwongo anawadanganya wajinga pale ufipa ila ccm haiwezi
Kelele za kutetea utawala dhalimu wa mwendazake hazitawasaidia zitazidi kuwaaibisha. Mama huyo atoe vielelezo au anyamaze. Utawala wa kishetani utaendelea kuumbuliwa sijui mtajificha wapi.
 
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.

Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.

Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Uhusiano wake na mchango kwa bajeti ya serikali ukoje? Kumbe kama Mwalimu Julius Nyerere alivyosema "mtu aliyezoea kula nyama ya mtu akiiona ataila tu." Rais amewaasa wabunge kujadili na kuchangia bajeti ya serikali na siyo kwenda nje ya mambo ya kibunge, lakini 'waliozoea kula nyama ya mtu wanaendelea kula'.
 
Back
Top Bottom