Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mngoni mpe hela atafikisha Ila nanihii hata haichukui round tayari keshaachia wazi ujilie tu. Limama lizima linaongea upuuzi bungeni bila hata aibu aisee.Mbowe alisema akaunti zimefungiwa siyo biashara.
Huyo mbunge hata akiulizwa Bills ilikuwa mtaa gani hajui.
Yeye angepambana kuwatetea wakulima wa mahindi wa Songea na barabara na madaraja ya Lizaboni,Mfaranyaki,Mpitimbi na Ndelenyuma.
Huyu mbunge, inaonekana kichwani kumeyumba. Hakuna Mbowe aliposema biashara zilifungwa. Alisema TRA walofungia bank account zake.Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Shujaa wa Chato anasemaje?Haya haya. wale wa kumtetea Mwenyekiti wa kudumu wa CDM na mwenye utajiri wa kurithi na Uenyekiti wa kuzadiwa na baba mkwe waje kusema yao...😎😎😎
Mwanamke huyu sjui hana Mume,Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Hili shankupe linapenda kweli vibenten,sijui mumewe ana shida gani au hana mume? Madogo wanaburuza sana na wanaambulia mpunga safi.Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
Mbowe siyo muongo Kama Pombe.Mbowe amezoea kuishi kwa uwongo anawadanganya wajinga pale ufipa ila ccm haiwezi
😂😂😂Kwani mbowe mwenyewe anasemaje????[emoji16][emoji16]
Kwani mbowe mwenyewe anasemaje????[emoji16][emoji16]
Kama mama yako alivyozoea kuishi kwauongo kwa kukusingizia babaMbowe amezoea kuishi kwa uwongo anawadanganya wajinga pale ufipa ila ccm haiwezi