The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Kwa mwawazo ya mama msemakweli tupu ni kwamba mpangaji kama halipi kodi jengo linabomolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Jackline ngonyani namfahamu amemtaka mbowe kimapenzi kwa muda mrefu sana na jamaa kamtolea nje sishangai anapotoa tuhuma hizi kwa mbowe. Pole sana jack
Ninao mkuu. Una swali lingine?Wewe unaundugu na akina Mbowe? Tufahamishe ukweli
Kama Tulia alivyo muongo kwa jinsi alivyolidanganya bunge leo kuwa ofisi ya sipika haina taarifa za covid 19 kufutwa uanachama na chama chao[emoji23][emoji23]Mbowe amezoea kuishi kwa uwongo anawadanganya wajinga pale ufipa ila ccm haiwezi
Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Wabunge kwa hisani ya ....... wengi hawajui wamefuata nini mjengoniBunge la budget
Tupe ukweliNinao mkuu. Una swali lingine?
Ngonyani anatafuta kikiTupe ukweli
Tumwamini nani?Ngonyani anatafuta kiki
TRA waliokubali kuwa wamefungua acc binafsi za ChairmanTumwamini nani?
Mbaya zaidi hilo jengo lilijengwa na baba yake Mbowe, Nyerere alilitaifisha akawapa NHC.
Tuwe wawazi tu hii ni nchi yetu ila hatutakuja kuendelea kwa siasa hizi za kumkomoa fulani, ila kusema ukweli bunge letu halina faida labisa ni kama kijiwe watu wanaenda kuchukua pesa tuMbaya zaidi hilo jengo lilijengwa na baba yake Mbowe, Nyerere alilitaifisha akawapa NHC.
'TRA waliokubali kuwa wamefungua acc binafsi za Chairman
Naona ni mchango wa Mbunge kwenda kwenye Ofisi Ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Hawa nao mnawaita wabunge?hawa ni vivuli wa wabunge tuMbunge wa Viti Maalum kutoka CCM, Jackline Ngonyani, amesema Mwenyekiti wa CHADEMA aliwadanganya Watanzania kuhusu Serikali kufunga biashara zake na kumyanyasa.
Amesema biashara anazozifanya Mbowe ni za urithi wa Familia na alikuwa anazifanya bila kuwapa mrejesho Wanafamilia ndipo walipokwenda Mahakamani na Mahakama kuamuru kumzuia kuendelea na biashara hizo.
Aidha, amesema Jengo la Billcanass lilichukuliwa kutokana na Mbowe kutokulipa kodi kwa muda mrefu kwasababu lile ni jengo la Serikali.
View attachment 1761665
Tangu mumeo akutoke naona umebakiwa na hasira za kufa mtuNa huo ndio ukweli, zingine ni siasa tu.
Akikutana na mtu wa kumpiga maswali ya kumoeleka mbele na kumrudisha nyuma na kati utamuona ana jikataaHawa wanatumwa kuongea hivi. Ni wa kuhurumia kwa kweli