Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
"Nilizungumzia visiwa vya Zanzibar vinahitaji kulindwa, na sikuzungumzia nika-'identify' kwamba ni watu kutoka Tanzania Bara au Tanganyika waje na pasipoti [...] Mimi nilisema tunahitaji pasipoti irudi kwa sababu Tanzania hii ni kubwa, hii Tanzania tumepakana na majirani zetu ambao wana sura zinazofanana na sisi, wana lugha inayofanana na sisi lakini inafikia wakati kuna udanganyifu hata kwenye kupata vitambulisho. Wanapoingia Zanzibar ndiyo wanachukua zile kazi.” - Mohamed Issa, Mbunge wa Jimbo la Konde
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
Swahili Times
====
Pia soma:
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
Swahili Times
====
Pia soma: