n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Chadema wanaweza pata wabunge wa viti maalum (Wadada tu), tutegemee na wao kususa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unamlaumu je na yule aliyezini na kupachikwa mimba na kuzaa na Gywe hakua mke wa mtu?!!Huyu Dada ubunge wa viti maalum ulifanya mpaka kumkacha mumewe, Mbowe Mungu anakuona. Ulitegemea afurahi?.
Unataka sifa ambayo huwezi kuipata.Umeona bungeni hutaweza kuchangia mpaka upate ubebwaji wa wenzio yaani utembelee nyota yao. Sasa hao hawapo tena
Ndio maana tumeamua tuwe na connection! Mshaanza kushikiwa akili na Mbowe!
Inawaumaa eeeAnataka kususa ubunge? Kwa hiyo ktk shule darasa lako zima limefeli mtihani, mmoja tu kafaulu, na yule aliyefaulu anakataa matokeo na kususa kuungana na wenzake walio feli? Duh, basi afanye hivyo
Ndo maana tumeamua tuwe na connection! Mshaanza kushikiwa akili na Mbowe!
Wengi wataunga mkono juhudi, Mbowe hawezi kaa na mizigo inayo cost chama isiyoleta chochote faida yoyote. Hata hao wenyewe hawatakubali kuchangia 1Ml, huku wanajua zinakwenda tafunwa na kina Baby can you fly to kili?. Poleni Sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi nasubiri chadema waanze kutimuana, na hivi hawana ruzuku
We iga kunya Kwa tembo....jiulize kama angeshinda ubunge huo Mbowe au Zitto ndio hungejua hujui
Kabisa mkuu!Wengi wataunga mkono juhudi, Mbowe hawezi kaa na mizigo inayo cost chama isiyoleta chochote faida yoyote. Hata hao wenyewe hawatakubali kuchangia 1Ml, huku wanajua zinakwenda tafunwa na kina Baby can you fly to kili?. Poleni Sana.
Unataka kubariki uhuni kwasababu za kufikirika, wacha uoga.Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Ajichanganye tu ateme ubunge.
Mambo ya chumbani kwa watu hayatuhusu.Huyu Dada ubunge wa viti maalum ulifanya mpaka kumkacha mumewe, Mbowe Mungu anakuona. Ulitegemea afurahi?.