Mbunge Mteule wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (CHADEMA) atoa tamko kuhusu ushindi wake

Mbunge Mteule wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (CHADEMA) atoa tamko kuhusu ushindi wake

Unataka sifa ambayo huwezi kuipata.Umeona bungeni hutaweza kuchangia mpaka upate ubebwaji wa wenzio yaani utembelee nyota yao. Sasa hao hawapo tena

Ukitaka hiyo sifa wewe jiuzulu tu ,chap chap tutafanya uchaguzi na CCM wanachukua tena. Heshimu nafasi yako.Hata ukifa hutaaandamana na akina Sugu na Lema.
 
Japo uamuzi wa mwisho wa mbunge mteule upo ndani yake, uwepo wa huyu mbunge ndani ya lile bunge ungewafanya mashetani waliomzunguka wapate amani mioyoni mwao, asipokuwepo ndio watajitazama wenyewe wajione walivyo wa hovyo, watajidharau dhamira zitawashtaki kwa matendo yao ya hovyo.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi nasubiri chadema waanze kutimuana, na hivi hawana ruzuku
Wengi wataunga mkono juhudi, Mbowe hawezi kaa na mizigo inayo cost chama isiyoleta chochote faida yoyote. Hata hao wenyewe hawatakubali kuchangia 1Ml, huku wanajua zinakwenda tafunwa na kina Baby can you fly to kili?. Poleni Sana.
 
Wengi wataunga mkono juhudi, Mbowe hawezi kaa na mizigo inayo cost chama isiyoleta chochote faida yoyote. Hata hao wenyewe hawatakubali kuchangia 1Ml, huku wanajua zinakwenda tafunwa na kina Baby can you fly to kili?. Poleni Sana.
Kabisa mkuu!

Kwanza Mbowe uchaguzi huu alikuwa hana raha kabisa maana Lisu kamfirisi sana tofauti na 2015 Lowasa alipeleka bilion 8
 
Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!

CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Unataka kubariki uhuni kwasababu za kufikirika, wacha uoga.
 
Dada mjanja sana huyu,keshasikia tetesi za yeye kutengwa na chama hivyo kajiwai mapema kuwapa matumaini makamanda,ila ukweli nikwamba aweziacha Ubunge kizembe.

kama ni wakuacha mpaka sasahivi angekuwa kesha jitoakwenye ubunge.
 
Na viti maalum CHADEMA wakatae. Kamanda anaachia tonge mkononi.
 
Back
Top Bottom