Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana tumeamua tuwe na connection! Mshaanza kushikiwa akili na Mbowe!
Huyu kwake chama ni bora kuliko wananchi waliomwamini kuwawakilisha. Halafu huyu alikuwa mmoja wa vitu maalum kwa Mwenyekiti so ni uamuzi uliotegemewa.
Wewe siyo wa Nkasi.Ajiuzulu tu turudie uchaguzi tumgaragaze.
Wana Nkassi hatupendi dharau
Acha kuota wewe yaani hata picha huoniHuyu dada ni bora aachie tu huo ubunge dunia ione wazi kuwa hii nchi inaendeshwa kidikteta.
Kuna mambo natabiri yatatokea baada ya huu uchaguzi na nina uhakika wa 100%.
1. Sasa waliokuwa wabunge na madiwani wa CHADEMA hawana kazi, Magufuli atataka kutumia hali yao duni ya kifedha ili awarubuni kwa kazi halafu wahamie CCM. Hatofanya hivyo kwa kuwapenda bali ni propaganda ya kuficha madhambi yake na kuionyesha dunia kwamba watu wanamuunga mkono.
2. Tundu Lissu kama kawaida yake hawezi kuhongeka kwa kazi au fedha. Hata ukiacha mambo ya maslahi Tundu Lissu siyo rahisi kukubali kuwa chini ya mtu aliyemzidi sana kwa akili na maarifa.
3. Tegemea watanzania wengi na mataifa ya nje ukiacha nchi za kiafrika kutomuunga mkono Magufuli. Mataifa ya Ulaya na Marekani watakwenda mbali zaidi na kuiwekea vikwazo "serikali" ya Magufuli.
Wewe mjinga usichezee akili za werevu.Mwenzao Aida khenan ameshinda ubunge kwenye wakati mgumu sana, si Mbowe wala Lisu aliyeenda kumuombea kura huko Nkasi , acha ale maisha tena bila makato ya kuchangia chama.
Ni aibu kubwa sana kwa Mbowe ,Msigwa ,Lema ,Mdee, Sugu kuzidiwa mbinu za medani katika kulinda kura na mtoto mdogo tena mwanamke Aida !
Amepewa na ccm? Alishindwa uchaguzi? Atulie, ashirikiane na wenzake bila matamko.
Mwerevu aliyeshindwa kila kona!!We mjinga usichezee akili za werevu.
Hatua njema. Alisema mpambanaji:
"I would rather stay poor."
Kwa hakika:
"She would rather stay poor."
Kashindwa na mjinga anaebebwa na polisi, tume, TISS, wakurugenzi, kura feki etc.Mwerevu aliyeshindwa kila kona!!
Hovyo kabisa
Hamna kitu, kwa akili hizo CDM inaenda kubaki jina tu kama TLP.
Wabunge wa ssm walivyokuwa wamezoea kuwatukana wabunge wa upinzani bungeni,bunge hili sjui watamsimanga nani
Ok kumbe hakuchaguliwa, basi arudishe ili apewe mwingine.Yes amepewa na CCM kupitia Mawakala wao NEC /MAJESHI/TISS na Taasisi zote zilizo Shiriki kunajisi Demokrasia.
Ok kumbe hakuchaguliwa, basi arudishe ili apewe mwingine.
Akili za kingese hizi. Hivi huwezi kuona kuwa hakukuwa na uchaguzi mwaka huu?Huyu kwake chama ni bora kuliko wananchi waliomwamini kuwawakilisha. Halafu huyu alikuwa mmoja wa vitu maalum kwa Mwenyekiti so ni uamuzi uliotegemewa.