Mbunge Mteule wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (CHADEMA) atoa tamko kuhusu ushindi wake

Mbunge Mteule wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (CHADEMA) atoa tamko kuhusu ushindi wake

Aaache ujinga...ana familia.mume na watoto.
Hio familia kaipata usiku wa Jana?siku zote si ameihudumia mpaka leo hii,
Haya mawazo kama yako ndio yanawakilisha wana CCM wanavyopenda kutumikia matumbo yao
 
Bona zzk alishinda act peke yake hakukacha kuingia mjengoni..
 
Ajiuzulu tu turudie uchaguzi tumgaragaze.

Wana Nkassi hatupendi dharau.
Mmekosea sana kumtoa sadaka Ally Kessy. Kulikuwa hamna sababu ya kumnyima ubunge. BTW utamgaragaza vp mtu ambaye hatagombea tena?
 
Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!

CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Strategy ingekuwa mbaya ccm wasingeiba kura. Inafanya kazi ndiyo maana imebidi wafanye kazi ya ziada ya udanganyifu
 
Bahati mbaya yote unayotaka na CHADEMA yako Watanzania tumeyakataa katika box la kura. Demokrasia ni kuheshimu maamuzi ya wengi.
Hata aibu huna, hayo makaratasi (mnayoyaita ya kura ) aliyopigwa na huyu Harakaharaka wako pale Lumumba na mengine yakadakwa na kuzagaa mitaani, akina mama wakiyafungia vitumbua ndo wewe unayaita maamuzi ya wengi? Tuna taarifa zote za kulazimishwa kwa walimu (waliosimamia huo uchafuzi) kupitisha kura zilizopigwa huko Lumumba hadi kwenye masanduku ya kura hasa baada ya mawakala wa vyama vya upinzani kuzuiliwa kuingia vituoni ama kutolewa kwa nguvu. Huna aibu kutambia uchaguzi wa hovyo kama huu aisee!
 
Wewe endelea na majukumu yako ya kibunge, huo pia ni mpango wa Mungu wewe uwe pale!
 
Back
Top Bottom