Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Huyu dada alikuwa mbunge wa viti maalum. Siyo mara ya kwanza kuwa mbunge na hivyo sioni ugumu kwake ku sacrifice hiyo nafasi kwa ajili ya kusimamia anachokiaminiAache ulofa akatumikie wananchi walio muamini
Usicbojua ni kwamba alikuwa mbunge wa viti maalumu bunge lililoisha. Alishavuka mstaari wa kutafuta hela ya kula kitamboAache ujinga ana Familia, Mume na Watoto.
Nilikuwaga naheshimu Mawazo yako mkuu lkn kwa Sasa nayadharau sana mkuu MTAZAMO chuki zako juu ya Mbowe zimekufanya kinyesi ukiite mkate.Huyo anaingizwa chaka ...
Eti UCCM inawauma kusikia huyu dada anataka kuachia hicho kiti.
Kanisikitisha Sana huyu mteuliwa ka dispoint wananchi walio mchaguaHuyu kwake chama ni bora kuliko wananchi waliomwamini kuwawakilisha. Halafu huyu alikuwa mmoja wa vitu maalum kwa Mwenyekiti so ni uamuzi uliotegemewa.
Utafanye kosa juu ya makosa wakati dhamira inakusuta?Huwezi kuwaachia ngedere shamba. Utavuna mabua!
CHADEMA on the verge of repeating the same mistake. Hii strategy ya kususa mwisho wake huwa ni mbaya - almost always!
Aache ubunge turudie kupiga kura ili CCM ichukue tena hilo Jimbo.
Kwa yeye hakuwa mbunge? Acha mihemko au umemjua leo baada ya kushinda?Aache huo ujinga aende bungeni sasa aligombea ili iweje naye kumbe Hana akili na nyie chadema acheni kumshinikiza huyo dada eti aache ubunge kwahyo kina mbowe walivokuwa wabunge haikuwa udhalimu.
Kwa yeye hakuwa mbunge? Acha mihemko au umemjua leo baada ya kushindaAache huo ujinga aende bungeni sasa aligombea ili iweje naye kumbe Hana akili na nyie chadema acheni kumshinikiza huyo dada eti aache ubunge kwahyo kina mbowe walivokuwa wabunge haikuwa udhalimu.
Ccm wanasikitika kuliko wana Nkasi na chadema🤣🤣🤣 anyway..pole sana. Meza tembe mbili za panadol za pakti ya blister ili kupunguza masikitiko😊Kanisikitisha Sana huyu mteuliwa ka dispoint wananchi walio mchagua
Bahati mbaya yote unayotaka na CHADEMA yako Watanzania tumeyakataa katika box la kura. Demokrasia ni kuheshimu maamuzi ya wengi.
Kwa hiyo ccm sasa hivi mnabebeleza watu waingie bungeni duuh Kali ya mwaka hiiSitaki nataka unafikiri Lema au Mbowe wangetoa tamko hili!
Kwani alikua mpinzani peke ake?Bona zzk alishinda act peke yake hakukacha kuingia mjengoni..