Mbunge Musukuma aambiwe kuwa pesa sio mbadala wa elimu

Mbunge Musukuma aambiwe kuwa pesa sio mbadala wa elimu

Pesa inaweza kuwanunua wenye elimu,kuwaajiri wenye elimu,kuwatukana wenye elimu.
Elimu ni ufunguo wa maisha,unafungua ili mtu kupata pesa,sasa kama una elimu yako na hauna pesa,jiulize ulifungua nini ambacho asie na elimu hana
 
Elimu ina nguvu na nguvu ya elimu ni kutengeneza pesa km una una elimu na huna pesa ulienda shule kusoma ili iweje?
Elimu siyo kuwa Tajiri. Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Gandhi, Mandela, na watu wa sina hiyo walikuwa na elimu nzuri lakini hawa kuwa matajiri. Unadhani walikuwa wajinga?
 
Mimi nilidhani unatupa mbadala wa pesa kama pesa sio mbadala wa elimu basi mbadala wa pesa ni nini?
Pesa siyo mbadala wa elimu na pia elimu siyo mbadala wa pesa.

Sijasikia dakitari akiwacheka wenye hela Eti kwa vile hawana elimu kama yake
 
Elimu siyo kuwa Tajiri. Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Gandhi, Mandela, na watu wa sina hiyo walikuwa na elimu nzuri lakini hawa kuwa matajiri. Unadhani walikuwa wajinga?
Unamanisha Nyerere alikua masikini Kinyatta alikua masikini?
 
Elimu siyo kuwa Tajiri. Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Gandhi, Mandela, na watu wa sina hiyo walikuwa na elimu nzuri lakini hawa kuwa matajiri. Unadhani walikuwa wajinga?
Oyaa hujanielewa utajiri ninaousema mimi sio unaousema wewe mkuu tafakari tena mara ya pili au omba nikutoe tongotongo
 
Oyaa hujanielewa utajiri ninaousema mimi sio unaousema wewe mkuu tafakari tena mara ya pili au omba nikutoe tongotongo
Unakwepa? Umeandika kuwa kazi ya elimu ni kumpatia mtu pesa, na hakuna haja ya elimu kama Huna pesa
 
Unakwepa? Umeandika kuwa kazi ya elimu ni kumpatia mtu pesa, na hakuna haja ya elimu kama Huna pesa
Mkuu wewe umeishia darasa la ngapi mboni unauliza maswali ya kitoto? Hivi unaelewa sababu za hawa wanafunzi kwenda kusoma shule au haujui wanasoma shule ili iweje? Mfano wewe unamsomesha mwanao shule ili iweje aondoe tu ujinga kichwani halafu basi uendelee kuishi nae nyumbani kwako na kujitapa mwanangu ana masters ila nipo nae hapa nyumbani hana ajira yoyote?
 
Tusidanganyane hakuna umuhimu wa elimu kama muhitimu Hana ajira ,kama wote mngejua kwamba baada ya kuhtimu hautokaa upate ajira maisha yako yote sidhani kama Kuna mtu angevumilia kutumia hyo miaka zaidi 25 for nothing
 
Tusidanganyane hakuna umuhimu wa elimu kama muhitimu Hana ajira ,kama wote mngejua kwamba baada ya kuhtimu hautokaa upate ajira maisha yako yote sidhani kama Kuna mtu angevumilia kutumia hyo miaka zaidi 25 for nothing
Kwa akili kama zako itachukua miaka mingi sana Tanzania kuendelea.
 
Kwanza huyo kasheku Hana Hela ya maana.kukosa kwake elimu ndiyo imemfanya aone Hivyo vi chenjichenji vyake ni tajiri.
Wewe huyo hana level ya vichenji unavyosema!
Huyo kwa level ya Kibongo anahela kama anaweza kuwa na Gold Illustrations,Malori,Mabasi na majumba sehemu Kama Masaki,Capri point,Dodoma nk!
Huyo anakosa shule japo mtoto wake kamsomesha Ulaya na ndo anaendesha Kampuni zake!
Kwa hiyo huwezi kumbeza maana kwa watu waajiriwa sidhani kama kuna mbongo hata kama ni mkurugenzi wa Taasisi yeyote anamkuta Msukuma kwa hela!
 
Wewe huyo hana level ya vichenji unavyosema!
Huyo kwa level ya Kibongo anahela kama anaweza kuwa na Gold Illustrations,Malori,Mabasi na majumba sehemu Kama Masaki,Capri point,Dodoma nk!
Huyo anakosa shule japo mtoto wake kamsomesha Ulaya na ndo anaendesha Kampuni zake!
Kwa hiyo huwezi kumbezq maana kwa watu waajiriwa sidhani kama kuna mbongo hata kama ni mkurugenzi wa Taasisi yeyote anamkuta Msukuma kwa hela!
Msukuma hela anayo ila anakera sana anavyodhani elimu haina maana.
 
Kwanza huyo kasheku Hana Hela ya maana.kukosa kwake elimu ndiyo imemfanya aone Hivyo vi chenjichenji vyake ni tajiri.
Wewe huyo hana level ya vichenji unavyosema!
Huyo kwa level ya Kibongo anahela kama anaweza kuwa na Gold Illustrations,Malori,Mabasi na majumba sehemu Kama Masaki,Capri point,Dodoma nk!
Huyo anakosa shule japo mtoto wake kamsomesha Ulaya na ndo anaendesha Kampuni zake!
Kwa hiyo huwezi kumbeza maana kwa watu waajiriwa sidhani kama kuna Mbongo ameajiriwa au Mkurugenzi fulani anamkuta kwa hela!
 
PAJAMA -

Sio Msukuma tu hata kujifananisha na wanawake haifai

MTU jitu zima unajiitaje Mama
 
Pesa inaweza kuwanunua wenye elimu,kuwaajiri wenye elimu,kuwatukana wenye elimu.
Elimu ni ufunguo wa maisha,unafungua ili mtu kupata pesa,sasa kama una elimu yako na hauna pesa,jiulize ulifungua nini ambacho asie na elimu hana
Nenda kwa P Diddy akupe pesa mkuu..
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.


Tatizo ni waomi wengi wamebakia kuwa machawa wa serikali mnafikiri nani atawaheshimu
 
Anabeza vipi wasomi wenzake; naye si kawa Dokitori, ama!??
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Inawezekana ana elimu kupita wewe mmetofautiana tu. Wewe una makaratasi yeye ana uzoefu.
 
Unaweza kuwa na Elimu ila usiwe na pesa
Ila unaweza kuwa na Pesa na ukanunua Elimu mfano ni yeye Msukuma ana PHD na Hana Elimu 😀😀
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Usibishane na wachawi...



...Ni Hayo Tu!!
 
Back
Top Bottom