Mbunge Musukuma aambiwe kuwa pesa sio mbadala wa elimu

Mbunge Musukuma aambiwe kuwa pesa sio mbadala wa elimu

Sasa kuna fundi mchundo hapo anasema hausomi ili upate pesa ili uajiriwe ili upate kazi kwa hio wale wanaoajiriwa wanafanya kazi bure si wanaingiza pesa kila mwisho wa mwezi?

Mfumo wa elimu yetu tuliyonayo kuanzia msingi mpaka chuo kikuu ni ya kumtengeneza mwanafunzi msomi kua mwajiriwa mindset yake inatengenezwa kwamba akimaliza kusoma ajira na kazi vipo mlangoni kwake kuanzia chini yaan hufundishwi kua mtu wa kujiajiri then kuna mtu anakwambia kwamba elimu yetu hailengi watu kusoma ili waajiriwe au wapate kazi na kutengeneza pesa who said that?

Sasa baada ya elimu nini kinafuata? Usizungumzie tu elimu kisha ukabakia hapo hapo what is next after that? Sawa una elimu nini kinafuata baada ya kuelimika umeshasoma umepata ujuzi umefuzu mafunzo nini kinafuata ukae tu na kujisifu mimi nimesoma na mfukoni huna pesa? Watu watakuona Fala na elimu yako una elimu halafu huna kazi huna ajira huna pesa unaonekana bogus tu
Mkuu kama kazi ya elimu ni kumfanya tu aajiriwe naona hatutaelewana. Kazi ya elimu ni nyingi mno.
 
Mkuu kama kazi ya elimu ni kumfanya tu aajiriwe naona hatutaelewana. Kazi ya elimu ni nyingi mno.
Sasa hapo ndio tunapotoana kwenye reli nimekwambia mfumo wa elimu hivi unaelewa maana ya neno mfumo wa elimu au unataka niandike lugha gani uelewe kindengeleko?
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Ma CCM yanaharibu Kila kitu kuanzia elimu afu yanaanza kujisifu elimu siyo kitu. Shame on them
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Lakini elimu inanunuliwa na pesa siku hizi ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Elimu yetu inakosa maana kwa sababu haina maarifa ndani yake!
Kwa sehemu kubwa ni kusoma makaratasi tu ila skills ni ndogo sana!
Wenzetu Wachina elimu yao imelenga kuyatawala mazingira ila ya kwetu ngoja liende!
Elimu ya Tanzania japo kweli kuna baadhi imewapa maisha na connection ila kwa sehemu kubwa ni miyeyusho na kuambulia kufanya kazi kama vibarua tu!
Nani aifanye iwe na maarifa?
 
Watu kama hawa wakiumwa ndipo inapaswa wawekewe pesa zao kama dawa wasipewe dawa au tiba za kisayansi na elimu zake
 
Mkuu wewe umeishia darasa la ngapi mboni unauliza maswali ya kitoto? Hivi unaelewa sababu za hawa wanafunzi kwenda kusoma shule au haujui wanasoma shule ili iweje? Mfano wewe unamsomesha mwanao shule ili iweje aondoe tu ujinga kichwani halafu basi uendelee kuishi nae nyumbani kwako na kujitapa mwanangu ana masters ila nipo nae hapa nyumbani hana ajira yoyote?
Ala! Kama unatafsiri elimu ni ile inampa mtu pesa kwa nini uulize elimu yangu badala ya kuuliza nina pesa kiasi gani. Halafu lengo Lako la kumpeleka mtoto wako shule ni la hovyo sana kwani ina maana kuwa mzazi akiwa tajiri na anajua kuwa mtoto wake atarithi utajiri huo basi hana haja ya kimpeleka mtoto shule.
 
Ala! Kama unatafsiri elimu ni ile inampa mtu pesa kwa nini uulize elimu yangu badala ya kuuliza nina pesa kiasi gani. Halafu lengo Lako la kumpeleka mtoto wako shule ni la hovyo sana kwani ina maana kuwa mzazi akiwa tajiri na anajua kuwa mtoto wake atarithi utajiri huo basi hana haja ya kimpeleka mtoto shule.
Hapa naona naufukuza upepo basi mkuu tufanye wewe ni mwelewa zaidi kuhusu elimu, ujuzi, nidhamu, juhudi na pesa, furahi sasa
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Mtu haoni umuhimu wa elimu halafu akifika hospitali anataka aonane na daktari bingwa. Huyo kasheku anayebeza elimu tuko hapa tuliosoma na mtoto wake shule fulani maarufu hapo geita ina ada kubwa kidogo
 
ELIMU inayoeleweka hauwezi kuipata bila pesa.

Msukuma anazingua kuponda Elimu Ila Elimu ya Tz bado ni duni Sana.
 
Elimu ya st kayumba
Vyuo vya Tanzania

Hii sio Elimu

Kidogo MTU amesoma nje amepata Exposure kubwa ya mambo huyo ndo anaweza kusema amesoma

Japo ukikosa Kware mawindoni hata ukipata bundi sio mbaya
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Sasa Msukuma amekosa majibu, si angewambia pesa haikai kwa mjinga???
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Sasa Msukuma amekosa majibu, si angewambia pesa haikai kwa mjinga???
 
Anawa hadaa wajinga.

Lkn ukweli mtaaa unatutesa wote wenye elimu na wasio na elimu.

Watu wote ambao hawakubahatika kupata elimu, walivopata pesa waliaajiri wasomi & kusomesha watoto wao.

DIamond mwenyewe pale ana watu wa Tax, Human resource, Wanasheria n.k hawa wote wamesoma na anacanya nao kazi na mambo yake yanaenda. Unazani lasaba wenzake wa tandale hajawaona.

Mwenye ufahamu na asikie
 
ELIMU inayoeleweka hauwezi kuipata bila pesa.

Msukuma anazingua kuponda Elimu Ila Elimu ya Tz bado ni duni Sana.
Mkuu hiyo unayosema elimu duni ndo inatuletea madaktari mahospitalini pamoja na wataalamu wengine. Sio vema kuponda sana ulicho nacho. Kuwa mzalendo
 
Anawa hadaa wajinga.

Lkn ukweli mtaaa unatutesa wote wenye elimu na wasio na elimu.

Watu wote ambao hawakubahatika kupata elimu, walivopata pesa waliaajiri wasomi & kusomesha watoto wao.

DIamond mwenyewe pale ana watu wa Tax, Human resource, Wanasheria n.k hawa wote wamesoma na anacanya nao kazi na mambo yake yanaenda. Unazani lasaba wenzake wa tandale hajawaona.

Mwenye ufahamu na asikie
Watu ambao hawajasoma asilimia kubwa wana maisha magumu sana. Kina Diamond ni miongoni mwa wachache waliobahatika. Tafuta marafiki zako walioishia la saba na waliofika chuo linganisha maisha yao utaona wale wa chuo wana unafuu.
 
Back
Top Bottom