Dawa ya kuwapunguza hawa kenge kwenye chombo mhimu cha kuwakilisha wananchi ni ku-set academic qualifications kwa mtu kugombea nafasi nyeti kama ya ubunge. Dunia imebadilika sana tunahitaji smart and focused mind kuwawakilisha wananchi. Ifike mahali hawa darasa la tatu A walisaidie taifa kalika nafasi nyingine. SIYO UBUNGE. Kwa mtizamo wangu hata mwenyekiti wa mtaa anapaswa angalau awe amehitimu kidato cha nne.
Ova.