Mbunge Musukuma asitake Kuhalalisha kuwa wenye Elimu ndogo wapendelewe, wasikilizwe sana na waonewe mno huruma na Watu kwa gharama ya kuwananga wasomi

Wew upo kwenye kundi gani mkuu? La wasomi au darasa la saba?
Lkn mkuu umekosea Drs la saba kwani siyo Msomi baba!!!
Kukaa shule miaka seven si jambo la kisport sport!! Au

Ni msomi punguani asiyejiamini??
 
Kudos!!
Hapa ndipo unaweza kuona jinsi WASOMI wa Tanzania wasivo thaminiwa! Bunge limejaza ma-lumpens wabbabaishaji halafu Bunge linawashangilia.....Nonsense!
Ni aibu Bunge la Tanzania karne ya 21 limejaza Darasa la 3A na la Saba(VII) na ilhali tuna Graduates kibao wako mtaani wana endesha Bajaj na Bodaboda.....!!!
Mtu anakopeshwa mamikioni na Bodi ya Mikopo lakini hapewi fursa ya ajira kupitia Ubunge....Aibu.
 
wasomi wanajua huyu ni chuki tu. itakuwa vurugu.
Wanamshusha kisomi.na kumjibu kisomi hkn anae muunga mkono.

Wasomi wanajua Mtiririko wa kuchuma mali Duniani ni familia 14 tuu!
Siku akisoma akaelimika atajuta sana. Na kujiona mjinga mnooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…