Mbunge Musukuma na simu yake

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama uliiona hiyo video vizuri, anayo smartphone nyingine nzuri tu, ila alisema hiyo hatupi ng'o!
jaribu kumfuatilia usimjaji kirahisi hivyo, amefanya mambo mengi sana jimboni kwake, mengine kwa pesa zake mwenyewe!
Mkuu tunajaribu kuangalia simu yake ila ukisema kafanya au hajafanya haihusiaani sana kikubwa ni wakati tuliopo simu aliyonyo na majibu ya kutetea yeye kumiliki hiyo simu!
 
Mkuu tunajaribu kuangalia simu yake ila ukisema kafanya au hajafanya haihusiaani sana kikubwa ni wakati tuliopo simu aliyonyo na majibu ya kutetea yeye kumiliki hiyo simu!
Point yangu ni kwamba hata smartphone anayo, halafu ishu nyingine kuna wachangiaji humu wanajaribu kulink hiyo ishu ya simu na upeo wake, trying to imply that he is kind of an idiot which I dont agree!
 
Acha kufurahisha, kwa hiyo hao wanaoenda na wakati wanamzidi nini tajiri MSUKUMA. Hiyo simu ni funzo tosha kwa Watanzania kuacha maisha ya kuiga kwa kumiliki simu ya laki 5 wakati kitanda huna. Huyo ndo tajiri KING MSUKUMA, wenye kufatilia udaku mitandaoni wataishia kuwa masikini.
 
Duh...kumbe utajiri ndo kila kitu?
 
Mambo ya African chemistry haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…