Mbunge Musukuma na simu yake

Mbunge Musukuma na simu yake

Alisimama Longido kipindi cha kampeni mbele ya wazee akawaambia ''King niko hapa, anayeweza kushindana na mimi ajaribu'' akamwita Dr Kiruswa akamwambia "Mimi ndio King, ukiona King kaja hapa ujue wewe ndio mbunge, hongera sana umeshashinda mimi ndio King" sasa mnashangaa anaking'ang'ania hicho kitochi huwezi juwa kinamsaidiaje bushitronically!😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama uliiona hiyo video vizuri, anayo smartphone nyingine nzuri tu, ila alisema hiyo hatupi ng'o!
jaribu kumfuatilia usimjaji kirahisi hivyo, amefanya mambo mengi sana jimboni kwake, mengine kwa pesa zake mwenyewe!
Mkuu tunajaribu kuangalia simu yake ila ukisema kafanya au hajafanya haihusiaani sana kikubwa ni wakati tuliopo simu aliyonyo na majibu ya kutetea yeye kumiliki hiyo simu!
 
Mkuu tunajaribu kuangalia simu yake ila ukisema kafanya au hajafanya haihusiaani sana kikubwa ni wakati tuliopo simu aliyonyo na majibu ya kutetea yeye kumiliki hiyo simu!
Point yangu ni kwamba hata smartphone anayo, halafu ishu nyingine kuna wachangiaji humu wanajaribu kulink hiyo ishu ya simu na upeo wake, trying to imply that he is kind of an idiot which I dont agree!
 
Cha ajabu ni kufunga rubber band kwenye simu, huyu mtu haoni umuhimu wa maintenance wala quality ya chochote...

...lami zikikongoroka atasema jazeni kifusi

...IV Fluids zikiisha mahospitalini atasema wapeni maji ya chumvi

.... wananchi wanakutumia picha na documents za vitu vinavyohitaji attention wewe una kitochi hakiwezi kuzifungua

... wananchi wake wenye TECNO za laki moja wako more informed na ulimwengu kwa vile huyu amepitwa na mapinduzi ya habari, hajui kinachoendelea nchini wala duniani kwa sababu anapata taarifa zake kwa kusubiri gazeti la kesho au taarifa ya TBC

Ndio upeo wake. Hatuwezi kupata maendeleo na watu kama hawa wenye simu za raba bendi!
Acha kufurahisha, kwa hiyo hao wanaoenda na wakati wanamzidi nini tajiri MSUKUMA. Hiyo simu ni funzo tosha kwa Watanzania kuacha maisha ya kuiga kwa kumiliki simu ya laki 5 wakati kitanda huna. Huyo ndo tajiri KING MSUKUMA, wenye kufatilia udaku mitandaoni wataishia kuwa masikini.
 
Acha kufurahisha, kwa hiyo hao wanaoenda na wakati wanamzidi nini tajiri MSUKUMA. Hiyo simu ni funzo tosha kwa Watanzania kuacha maisha ya kuiga kwa kumiliki simu ya laki 5 wakati kitanda huna. Huyo ndo tajiri KING MSUKUMA, wenye kufatilia udaku mitandaoni wataishia kuwa masikini.
Duh...kumbe utajiri ndo kila kitu?
 
Habati za majukumu wanajamvi nmeona simu anayotumia Msukuma(mbunge wa Geita vijijini)nikasema ngoja tuone kwa pamoja na tujue maoni ya wengine...

Namnukuu

“Simu yangu naipenda sana maana ina historia kubwa sana na ikitokea imeharibika nitaiweka nitaiweka kwenye makumbusho" - Musukuma

Toa maoni yako
View attachment 786058
Mambo ya African chemistry haya
 
Back
Top Bottom