Mbunge Musukuma na simu yake

Mbunge Musukuma na simu yake

Cha ajabu ni kufunga rubber band kwenye simu, huyu mtu haoni umuhimu wa maintenance wala quality ya chochote...

...lami zikikongoroka atasema jazeni kifusi

...IV Fluids zikiisha mahospitalini atasema wapeni maji ya chumvi

.... wananchi wanakutumia picha na documents za vitu vinavyohitaji attention wewe una kitochi hakiwezi kuzifungua

... wananchi wake wenye TECNO za laki moja wako more informed na ulimwengu kwa vile huyu amepitwa na mapinduzi ya habari, hajui kinachoendelea nchini wala duniani kwa sababu anapata taarifa zake kwa kusubiri gazeti la kesho au taarifa ya TBC

Ndio upeo wake. Hatuwezi kupata maendeleo na watu kama hawa wenye simu za raba bendi!
Acha kukariri wewe, msukuma anatumia iPhone ya bei si chini ya milioni mbili.
 
Habati za majukumu wanajamvi nmeona simu anayotumia Msukuma(mbunge wa Geita vijijini)nikasema ngoja tuone kwa pamoja na tujue maoni ya wengine...

Namnukuu

“Simu yangu naipenda sana maana ina historia kubwa sana na ikitokea imeharibika nitaiweka nitaiweka kwenye makumbusho" - Musukuma

Toa maoni yako
View attachment 786058
Sio Burehapo kuna kitu
 
Cha ajabu ni kufunga rubber band kwenye simu, huyu mtu haoni umuhimu wa maintenance wala quality ya chochote...

...lami zikikongoroka atasema jazeni kifusi

...IV Fluids zikiisha mahospitalini atasema wapeni maji ya chumvi

.... wananchi wanakutumia picha na documents za vitu vinavyohitaji attention wewe una kitochi hakiwezi kuzifungua

... wananchi wake wenye TECNO za laki moja wako more informed na ulimwengu kwa vile huyu amepitwa na mapinduzi ya habari, hajui kinachoendelea nchini wala duniani kwa sababu anapata taarifa zake kwa kusubiri gazeti la kesho au taarifa ya TBC

Ndio upeo wake. Hatuwezi kupata maendeleo na watu kama hawa wenye simu za raba bendi!
Mkuu ina maana kifaa cha electronic kinacho access information ni simu pekee? Tutajuaje labda anatumia PC, au IPAD etc.
 
Mkuu ina maana kifaa cha electronic kinacho access information ni simu pekee? Tutajuaje labda anatumia PC, au IPAD etc.


PC huibebi mkononi, by the time unafika nyumbani au ofisini kufungua mtandao na email unakuta concern ya wananchi ishakuwa old chesnut, uko nyuma ya wapiga kura wako wenye TECNO za elfu 80. Bomba limepasuka, nyumba zimeungua, watu wanataka kukutumia picha, waanze ku attach ma faili ya email? Email yako wanayo?

Acha kukariri wewe, msukuma anatumia iPhone ya bei si chini ya milioni mbili.


Ukisema IPHONE ya milioni mbili anayo, IPAD anayo, then unakubaliana na mimi kwamba ni kweli, ki tochi cha raba bendi hakifai!
 
Habati za majukumu wanajamvi nmeona simu anayotumia Msukuma(mbunge wa Geita vijijini)nikasema ngoja tuone kwa pamoja na tujue maoni ya wengine...

Namnukuu

“Simu yangu naipenda sana maana ina historia kubwa sana na ikitokea imeharibika nitaiweka nitaiweka kwenye makumbusho" - Musukuma

Toa maoni yako
View attachment 786058
Bangi Mbaya sana aisee
 
Huyu jamaa ni shida uko kwao ni mfalme jumapili hubeba watu bure kuwaleta mjini hakika ni King msukuma..... Sio Simu tu hata yeye akifa wasukuma wako tayari kumweka makumbusho
 
Hilo ni tusi kwa vijana wasomi. Anamiliki simu ya milioni moja lakini hana hata mtaji wa laki tano anaililia serikali ajira, Hana hata chumba kimoja amepanga lakini kila siku anabadilisha magari na yupo mitandaoni anaangalia toleo jipya. Yeye musukuma ni darasa la saba anamiliki mali kibao lakini maisha yake ni simple.
 
Habati za majukumu wanajamvi nmeona simu anayotumia Msukuma(mbunge wa Geita vijijini)nikasema ngoja tuone kwa pamoja na tujue maoni ya wengine...

Namnukuu

“Simu yangu naipenda sana maana ina historia kubwa sana na ikitokea imeharibika nitaiweka nitaiweka kwenye makumbusho" - Musukuma

Toa maoni yako
View attachment 786058
Majitu ya Kanda ya Ziwa ni mashirikina tu kuanzia Magusto hadi Bashite!
 
Back
Top Bottom