Hapa ndy anapotuzidi mzungu maarifa, sisi waafrica,,yaani mtu anayefilisi Mali asili za taifa ndy kipaumbele chetu Africa..tunafunga watu maisha kwa kesi za hovyo kabisa..,,kuna watu jela hawajahukumiwa mwaka wa kumi huu,,kama tatizo ni faini basi wawapeleke mahakamani kama watashindwa Kulipa faini,,,yaani kesi hata haijamaliza miezi miwili hukumu tayari,,,tena nyepesi kabisa,,duu....kesi kama hyo ulaya ni miaka isyopunguwa kumi...na faini juu....Africa...I can't breath,...kweli Africa ni kama mwituni..