Mbunge Nchambi na wenzake 2 wakiri makosa ya uhujumu uchumi na kulipa faini

Mbunge Nchambi na wenzake 2 wakiri makosa ya uhujumu uchumi na kulipa faini


Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleiman Masoud Nchambi (CCM), pamoja na wenzake wawili wamekiri makosa dhidi ya kesi iliyokuwa ikiwakabili ya Uhujumu Uchumi, na kuamuliwa kulipa faini kila mmoja au kwenda Jela, ambapo wote wamelipa faini na kuachiwa huru.

i/ Nchambi amekabilia na makosa 9 na kutakiwa kulipa Shilingi Milioni 22.5.

ii/ Yahya Soud amekabiliwa na makosa 4 amelipa Shilingi Milioni 7.

iii/ Abdala Soud, makosa 2, amelipa Shilingi Milioni 3.

Pia soma
- Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

- Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Halima mdee aliandamana faini mil 200 huko.
Hii dunia kama ya kwao
 
Mabunduki ya CCM

ANGEKUWA MPIZANI
hakuna dhamana
Hakuna faini
Kifungo miaka 50.

Ila kwa vile ccm nikupeana mali za siri
Kwenye hukumu ya huyu BURUSHI, kuna mambo yamenishangaza.
---Amekutwa na makosa 9, (mengi kuliko wenzie wawili),kapigwa faini Tsh 22.5M (fedha nyingi kuliko wenzie) . Au aende jela miezi mitatu (michache sana kuliko wenzie. Wenzie ni mwaka mmoja mmoja).
--Wenzie: -
Mshtakiwa wa pili, makosa manne, faini ya Tsh 7M .
Mshtakiwa wa tatu, makosa mawili faini Tsh 3M.
 
Awamu hii kila kitu kinawezekana
Kosa la wazee wa escrow ni kutoamkia wakubwa watafia jela,pona yao wadhikiri Sana watz wawe na akili October,bila hivo ushahidi kukamilika wausubirie Hadi 2040.Wakiendekeza ligi pale ndio kiwandani kabisa watachezea ligi zote za bara na pwani.Waubusu na kuisujudia Sanamu ili waokoke.
Afrika jela no kwa ajili ya masikini sababu hawana pesa za kununua Uhuru wao, ukimuona tajiri jela kaingia 18 za watawala ananyooshwa anyooke kwa pasi ya Moto wa makaa.
 
Kwenye hukumu ya huyu BURUSHI, kuna mambo yamenishangaza.
---Amekutwa na makosa 9, (mengi kuliko wenzie wawili),kapigwa faini Tsh 22.5M (fedha nyingi kuliko wenzie) . Au aende jela miezi mitatu (michache sana kuliko wenzie. Wenzie ni mwaka mmoja mmoja).
--Wenzie: -
Mshtakiwa wa pili, makosa manne, faini ya Tsh 7M .
Mshtakiwa wa tatu, makosa mawili faini Tsh 3M.
Hizi kesi ni biashara,ukiwa bahiri utaoza
 
Tito magoti na mwenzake

Milioni 17 tu mpaka leo
Hakuna hata dhamana, wanaozea jela

Hili jambazi namabunduki yake sijuwi limeuwa tembo wa ngapi
Miaka mingapi
Na nyati wangapi
Miaka mingapi
Na faru wangapi
Miaka mingapi na
twiga wangapi
Miaka mingapi na
Na chuwi wangapi nknk
Halafu faini m22?

Ccm ni tatizo zaidi ya ushenzi, ujinga na upumbavu

Hata yule malikia wa tembo angekuwa ccm au aunge juhudi kesho tu analiona jua la asubui
 

Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleiman Masoud Nchambi (CCM), pamoja na wenzake wawili wamekiri makosa dhidi ya kesi iliyokuwa ikiwakabili ya Uhujumu Uchumi, na kuamuliwa kulipa faini kila mmoja au kwenda Jela, ambapo wote wamelipa faini na kuachiwa huru.

i/ Nchambi amekabilia na makosa 9 na kutakiwa kulipa Shilingi Milioni 22.5.

ii/ Yahya Soud amekabiliwa na makosa 4 amelipa Shilingi Milioni 7.

iii/ Abdala Soud, makosa 2, amelipa Shilingi Milioni 3.

Pia soma
- Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

- Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Hao ni baadhi tu ya wezi waliojificha kwenye kichaka ccm.
 
Lugemalila na Singh wamegoma kuibiwa pesa na DPP?!

Lugemalila mwanaume kweli.
 
Linchi la majizi hili! Aibu zake jiwe na wenzake! Hongera Luge kwa kukataa kununua uhuru wako; uhuru ni haki ya kila mtu! Na hii mijitu inadhani itadumu milele! Iko siku!
 
Back
Top Bottom