Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Ukiwa na chapa jela inakuogopa.Kwanza kesi isingeendeshwa kwa mwendo kasi kama hii. Angesota rumande bila dhamana kwa miaka kadhaa kama akina Ruge na Seth.
Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleiman Masoud Nchambi (CCM), pamoja na wenzake wawili wamekiri makosa dhidi ya kesi iliyokuwa ikiwakabili ya Uhujumu Uchumi, na kuamuliwa kulipa faini kila mmoja au kwenda Jela, ambapo wote wamelipa faini na kuachiwa huru.
i/Nchambi amekabilia na makosa 9 na kutakiwa kulipa Shilingi Milioni 22.5.
ii/Yahya Soud amekabiliwa na makosa 4 amelipa Shilingi Milioni 7.
iii/Abdala Soud, makosa 2, amelipa Shilingi Milioni 3.
Pia soma
- Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536
- Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Ila Tanzania tunachekesha sana
Faini? Kwa kesi ya uhujumu uchumi wa upinzani angefungwa bila faini na jimbo lake lingetangazwa haraka lipo wazi kama muda ungekuwa unaruhusuAngekuwa ni Mbunge wa chama pinzani faini ingekuwa zaidi ya milioni mia
Mahakama iko mikononi mwa yesu fake wa chato hivyo kama mtenda madhambi ni wa genge la wahuni basi anapeta tu kwa raha zake.
[/QUOTE
Hukumu ya kihuni sana hii.
Kweli kabisa huna chapa unaozea ndani!Ukiwa na chapa jela inakuogopa.
Huna chapa utasubiria sana ushahidi hata miaka 8 kwa kudokoa elf 2 sababu ya njaa.
Pana jamaa elf 20 kakaa ndani mwaka ulipotoka waraka wa kuomba msamaha ili ununue Uhuru wako akaununua kwa milioni moja na nusu plus kukosa na kazi.Lakini pana mijizi ya mabilioni sababu ni waimba kwaya wazoefu jela zinawaogopa.
Uhujumu uchumi ni fimbo ya kuwachapia wasiotaka kusifu na kuabuduKweli kabisa huna chapa unaozea ndani!
Mahakama za Tanzania Ni nzr Sana tatizo linakuja kwenye maamuzi ndiyo utaachwa na mshangao
Bwashee anagombea tena keshatangaza nia Kishapu
Kazi kwa Magufuli sasa
Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleiman Masoud Nchambi (CCM), pamoja na wenzake wawili wamekiri makosa dhidi ya kesi iliyokuwa ikiwakabili ya Uhujumu Uchumi, na kuamuliwa kulipa faini kila mmoja au kwenda Jela, ambapo wote wamelipa faini na kuachiwa huru.
i/Nchambi amekabilia na makosa 9 na kutakiwa kulipa Shilingi Milioni 22.5.
ii/Yahya Soud amekabiliwa na makosa 4 amelipa Shilingi Milioni 7.
iii/Abdala Soud, makosa 2, amelipa Shilingi Milioni 3.
Pia soma
- Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536
- Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Hayawezi kurudi.
Yanataifishwa.
Kwa hiyo kesi angefia jela na kwanza asingejihusisha na dili kama hiyo.Angekuwa ni Mbunge wa chama pinzani faini ingekuwa zaidi ya milioni mia