Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ashauri Biashara za Mtandaoni kuanza kutozwa Kodi

Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ashauri Biashara za Mtandaoni kuanza kutozwa Kodi

Tanzania kuna Platform gani inayofanania na Amazon?
Kwa hiyo ni biashara gani ya mtandao anayozungumzuia ambayo anataka ilipiwe kodi?

Ninajua kuwa Tanzania kuna platform kadhaa za aina ya Amazon zinazofanya mauzo online; labda sema kuwa wewe binafsi huzifahamu lakini usiseme kuwa hazipo.

Baadhi yake ni kama ifuatavyo

 
Yuko sahihi kabisa; Marekani siku hizi majimbo mengi yanatoza kodi mauzo yote ya mitandaoni. Kampuni kama Amazon, maduka yake ni ya mtandanoni na ndiyo yenye mauzo mengi kuliko kampuni yoyote. Sasa iwapo wa offline mwenye mauzo kidogo analipa kodi, iweje online mwenye mauzo mengi asilipe kodi.

Tatizo sasa litakuwa kwenye uhakiki wa hizo biashara za mtandaoni
Ujinga tu tumewaambia Serikali iruhusu paypal ili na Sisi biashara za mitandaoni tuwe tunalipwa hawataki wanataka tuwe tunalipa tu online ukinunua vitu

Amazon ni kampuni imesajiliwa Marekani,kampuni hizo zimesajiliwa Marekani ni sahihi kulipa huko kodi

Waruhusu PayPal tupokee pesa kwa mauzo ya vitu vyetu au huduma

Huyo mbunge mwambieni apeleke kwanza hoja ya kulipwa watanzania kupitia PayPal kwanza kuwa hiyo huduma Tanzania itaanza lini?
 
Ujinga tu tumewaambia Serikali iruhusu paypal ili na Sisi biashara za mitandaoni tuwe tunalipwa hawataki wanataka tuwe tunalipa tu online ukinunua vitu

Amazon ni kampuni imesajiliwa Marekani,kampuni hizo zimesajiliwa Marekani ni sahihi kulipa huko kodi

Waruhusu PayPal tupokee pesa kwa mauzo ya vitu vyetu au huduma

Huyo mbunge mwambieni apeleke kwanza hoja ya kulipwa watanzania kupitia PayPal kwanza kuwa hiyo huduma Tanzania itaanza lini?
Serikali kutokukubali matumizi ya Paypal ni kosa, lakini serikali kudai kodi za mauzo ya online ni sahihi.
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Neema amehoji kwa nini biashara za mtandaoni hazitozwi kodi kama biashara nyingine zinazofanyika nje ya mtandao. Mbunge huyo amenukuliwa akisema "Biashara ikifikia mauzo ya 4m, TRA wanatoza Kodi ya 100k/mwaka.

Biashara ikifikia mauzo ya 100m wanasajiliwa VAT na wanatozwa Kodi kulingana na Faida. Kwanini biashara za mtandaoni zisitozwe Kodi hata zikifikia mauzo stahiki? TUJADILI Online vs Offline [emoji871]".

View attachment 2145753
Posho za wabunge sitting allowance nazo zitozwe too maaamaeee
 
Yuko sahihi kabisa; Marekani siku hizi majimbo mengi yanatoza kodi mauzo yote ya mitandaoni. Kampuni kama Amazon, maduka yake ni ya mtandanoni na ndiyo yenye mauzo mengi kuliko kampuni yoyote. Sasa iwapo wa offline mwenye mauzo kidogo analipa kodi, iweje online mwenye mauzo mengi asilipe kodi.

Tatizo sasa litakuwa kwenye uhakiki wa hizo biashara za mtandaoni
Unalinganishaje marekani na nchi changa kama Tanzania? Tukilinganisha democracy ya America na bongo mnapinga!!
 
Nimemwelewa hivyo; angalia juzi nilinunua kitu amazon.com, bado nililipia tax. Vile vile, kwa Amazon kuniuzia kitu mtaani kwangu, serikali ya mtaa nayo inapata kodi ya biashara kutoka Amazon. Kwa hiyo serikali inapata kodi mbile: ile ya mauzo kutoka kwangu mnunuzi, na kodi ya biashara kutoka Amazon muuzaji, ingawa ile % ya kodi ya biashara ni ndogo sana kwa biashara za online kulinganisha na zile za offline, lakini bado wanalipa.

View attachment 2145767
Tunataka democracy kama ya marekani na uhuru wa kutoa maoni kama marekani!!
 
Mbona yeye mshahara wake haukatwi kodi yuko kupiga kelele.

Mtandaoni ni sehemu ya kukutanisha muuzaji na mnunuaji, akilipa kwa njia ya simu kachangia VAT pamoja na tozo. Wanataka nini kingine. Akifika dukani au ofisini anachangia halmashauri na kodi zingine.

Jiwe alilikosea sana ili taifa kuweka watu hao madarakani
Walishaasema unakatwa
 
Serikali kutokukubali matumizi ya Paypal ni kosa, lakini serikali kudai kodi za mauzo ya online ni sahihi.
Mauzo mengi ni ya kutumia PayPal ambako Tanzania hatujafika bado hayo mengine mbunge anaongea ujinga tu

Biashara nyingi za kununua kodi zote ukiagiza nje kodi zote unalipa kabla kuchukua mzigo wako

Mfano unaagiza gari kununua gari online shops kodi zote unalipa kuanzia za bandari, TRA,kila kitu ndio unachukua gari yako hata kupitia kwa agent au online agents walioko Tanzania

Muulize yeyote aliyewahi nunua kitu online duka liwe Amazon nk ambaye kilipofika nchini hakulipa kodi.Tena kodi yake ya kutisha mno.Waweza apa kutoagiza tena kitu cha dola 20 iambayo ni kama elfu 40 za Tanzania mpaka kukitoa waweza lipa kodi ,tozo nk laki moja

Mbunge anaongea vitu hewa hewa tu
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Neema amehoji kwa nini biashara za mtandaoni hazitozwi kodi kama biashara nyingine zinazofanyika nje ya mtandao. Mbunge huyo amenukuliwa akisema "Biashara ikifikia mauzo ya 4m, TRA wanatoza Kodi ya 100k/mwaka.

Biashara ikifikia mauzo ya 100m wanasajiliwa VAT na wanatozwa Kodi kulingana na Faida. Kwanini biashara za mtandaoni zisitozwe Kodi hata zikifikia mauzo stahiki? TUJADILI Online vs Offline ✍".

View attachment 2145753
kwa hapa kwetu? Labda watoze kodi za matangazo ya biashara''
 
Mauzo mengi ni ya kutumia PayPal ambako Tanzania hatujafika bado hayo mengine mbunge anaongea ujinga tu

Biashara nyingi za kununua kodi zote ukiagiza nje kodi zote unalipa kabla kuchukua mzigo wako

Mfano unaagiza gari kununua gari online kodi zote unalipa kuanzia za bandari, TRA,kila kitu ndio unachukua gari yako hata kupitia kwa agent au online agents walioko Tanzania

Muulize yeyote aliyewahi nunua kitu online duka liwe Amazon nk ambaye kilipofika nchini hakulipa kodi.Tena kodi yake ya kutisha mno

Mbunge anaongea vitu hewa hewa tu
usikute wameshauriana ili aje kusema hivyo kama ilivyokua kwenye tozo
 
Mauzo mengi ni ya kutumia PayPal ambako Tanzania hatujafika bado hayo mengine mbunge anaongea ujinga tu

Biashara nyingi za kununua kodi zote ukiagiza nje kodi zote unalipa kabla kuchukua mzigo wako

Mfano unaagiza gari kununua gari online kodi zote unalipa kuanzia za bandari, TRA,kila kitu ndio unachukua gari yako hata kupitia kwa agent au online agents walioko Tanzania

Muulize yeyote aliyewahi nunua kitu online duka liwe Amazon nk ambaye kilipofika nchini hakulipa kodi.Tena kodi yake ya kutisha mno

Mbunge anaongea vitu hewa hewa tu
Naona kama vile unaextend zaidi ya nilivyomwelewa; nimemwelewa akisema biashara za online Tanzania nazo zilipe kodi.

Amazon siyo biashara ya Tanzania, kwa hivyo hiyohaiingii kwa zile alizolenga.

Nadhani kwa Tanzania ukinunu kutoka Amazon ni kama ume-import, na hivyo hiyo itakuwa na kodi zake tofauti, lakini ukinunua kwenye website za Tanzania, inabidi ulipie kodi.
 
Kuna tofauti ya kutafuta wateja mtandaoni na kufanya biashara kwa njia ya mtandao. Watanzania wengi wanatafuta wateja mtandaoni na sio kufanya biashara mtandaoni.

Unakuta mtu ana duka lake Kariakoo na anawapa vijana bidhaa watagute wateja mtandaoni kwa lengo la kuiuza. Kwa mfano huo utasema hiyo ni Online Business?

Ni muhimu kuielewa kwanza dhana ya e-Business kabla ya kufikiria kulipa Kodi.

KUNYWA NA PEPSI NALIPA
 
Naona kama vile unaextend zaidi ya nilivyomwelewa; nimemwelewa akisema biashara za online Tanzania nazo zilipe kodi. Amazon siyo biashara ya Tanzania, kwa hivyo hiyohaiingii kwa zile alizolenga. Nadhani kwa Tanzania ukinunu kutoka Amazon ni kama ume-import, na hivyo hiyo itakuwa na kodi zake tofauti, lakini ukinunua kwenye website za Tanzania, inabidi ulipie kodi.
Zinalipa mbona

Haya to cut the story short hizo kampuni za online anazoongelea zinauza njegere,njugumawe na bidhaa tunazozalisha Sisi au zina import tuanzie hapo.Kimport hakuna shida kodi hulipwa zote

Ila kama ni online business zinauza mishkaki ,dawa za kimasai,na asali ya Tabora sawa
Naomba website zao hao wauza local products online ambao hawana duka physical .Natafuta wauza njegere online ambao hawana duka physical niagize njegere
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Neema amehoji kwa nini biashara za mtandaoni hazitozwi kodi kama biashara nyingine zinazofanyika nje ya mtandao. Mbunge huyo amenukuliwa akisema "Biashara ikifikia mauzo ya 4m, TRA wanatoza Kodi ya 100k/mwaka.

Biashara ikifikia mauzo ya 100m wanasajiliwa VAT na wanatozwa Kodi kulingana na Faida. Kwanini biashara za mtandaoni zisitozwe Kodi hata zikifikia mauzo stahiki? TUJADILI Online vs Offline ✍".

View attachment 2145753
Faida ya kuwa na wabunge waliopita bila kupingwa baada ya kupewa ubunge na Tume
 
Unalinganishaje marekani na nchi changa kama Tanzania? Tukilinganisha democracy ya America na bongo mnapinga!!
Marekani wana selikali na Tanzania pia wana serikali na serikali zote hujiendesha kwa kodi. In fact Marekani wana sheria kali sana kuhusu kodi. Kuhusu demokrasi ya America sote tunapenda twe nayo hapa kwetu, sijui una maana gani unaponiambia kuwa "mnapinga" kama vile niliwahi kupinga demokrasi ya Marekani isitumike Tanzania.

Hata hivyo, elewa kuwa demokrasi yoyote inahitaji sana utiifu wa sheria. Kwa marekani wao ni wakali sana kuhusu kutii sheria, unaweza kujua kuwa kuna gavana wa Illinois aliwahi kufungwa kwa kutotii sheria, na vile vile kuna maseneta na wabunge wa congress waliowahi kufungwa kwa kutotii sheria na sasa hivi rais wa zamani wa merakni bwana Trump yuko matatizoni kwa kuvunja sheria.

Kwa hiyo usichanganye uvunjanji wa sheria kwa kivuli cha demokrasi. Ni vizuri ukasema kuwa sheria mbovu zinazohitaji kufutwa, jambo ambalo ni kweli kabisa tuna sheria mbovu, lakini kabla hatujazifuta ni lazima tuzitii kama demokrasi halisi inavyotaka.
 
Back
Top Bottom