Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ashauri Biashara za Mtandaoni kuanza kutozwa Kodi

Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ashauri Biashara za Mtandaoni kuanza kutozwa Kodi

Yuko sahihi kabisa; Marekani siku hizi majimbo mengi yanatoza kodi mauzo yote ya mitandaoni. Kampuni kama Amazon, maduka yake ni ya mtandanoni na ndiyo yenye mauzo mengi kuliko kampuni yoyote. Sasa iwapo wa offline mwenye mauzo kidogo analipa kodi, iweje online mwenye mauzo mengi asilipe kodi.

Tatizo sasa litakuwa kwenye uhakiki wa hizo biashara za mtandaoni

Marekani sio ya kulinganisha na Tanganyika, Viti maalum vingefutwa tusingekuwa na wabunge vilaza Kama hawa
 
Zinalipa mbona

Haya to cut the story short hizo kampuni za online anazoongelea zinauza njegere,njugumawe na bidhaa tunazozalisha Sisi au zina import tuanzie hapo

Ila kama ni online business zinauza mishkaki ,dawa za kimasai,na asali ya Tabora sawa
Naomba website zao hao wauza local products online ambao hawana duka physical .Natafuta wauza njegere online
Hueleweki !

Tambua kuwa unaponunua bidhaa kwenye duka lolote la mtaani unatakiwa hulipia kadi ya mauzo kwa viwango tofauti. Ni vivyo hivyo ukinunua kwenye duka la unline, unatakiwa ulipia kodi kwa viwango vitavytakiwa. Manunuzi hayajali umeimport au umezalisha mwenyewe. Kuna tofauti kati ya bei za imported goods na bei za locally produced goods kwa vile bei za imported goods zitajumuisha freight, pamoja na kodi za customs ili mwenye duka aweze kupata faida.

Hii ya kuuza mishikaki, dawa za kimasai na mengineyo ni kuzungukazunguka kukwepa ukweli tu. Kodi ni mojawapo ya contract kati ya mwanachi na serikali. Ni afadhali ushauri kuwa serikali ipunguze kodi za mauzo, lakini siyo kuwa mauzo mengine yalipe kodi wakati mengine hayalipi kodi.
 
Hueleweki !

Tambua kuwa unaponunua bidhaa kwenye duka lolote la mtaani unatakiwa hulipia kadi ya mauzo kwa viwango tofauti. Ni vivyo hivyo ukinunua kwenye duka la unline, unatakiwa ulipia kodi kwa viwango vitavytakiwa. Manunuzi hayajali umeimport au umezalisha mwenyewe. Kuna tofauti kati ya bei za imported goods na bei za locally produced goods kwa vile bei za imported goods zitajumuisha freight, pamoja na kodi za customs ili mwenye duka aweze kupata faida.

Hii ya kuuza mishikaki, dawa za kimasai na mengineyo ni kuzungukazunguka kukwepa ukweli tu. Kodi ni mojawapo ya contract kati ya mwanachi na serikali. Ni afadhali ushauri kuwa serikali ipunguze kodi za mauzo, lakini siyo kuwa mauzo mengine yalipe kodi wakati mengine hayalipi kodi.
Inaelekea upeo wako mdogo kwenye online business kwenye imported product product bidhaa inaenda moja kwa moja kwa mteja wa mwisho .Mfano nimeagiza viatu vyangu Italia vya kuvaa .Bandarini nikivitoa nalipa kodi zote ikiwemo VAT tunamalizana

Mfanyabiashara akiagiza city vyake online anapeleka kwenye duka lake kariakoo au kokote hawezi weka dukani kama leseni hana na TRA halipi

Huyo mbunge anachoongea hata haelewi online business ni nini hasa na kodi je unalipa au hailipi? Haelewi concept ya online shop
Mfano kuna kampuni za akiagiza magari Tanzania ziko kibao zimesajiliwa TRA ukiagiza unawalipa commission na TRA wanalipa Kodi kama commission agents

Ndio maana nikasema kwa imported kodi huwezi kwema ndio nikauliza kama kuna online shops za kuuza njegere ,maharage na kunde na ndizi Bukoba ambazo hizo online shops hazina maduka physical yasiyolipa ushuru halmashauri,kodi nk
 
Kuna tofauti ya kutafuta wateja mtandaoni na kufanya biashara kwa njia ya mtandao. Watanzania wengi wanatafuta wateja mtandaoni na sio kufanya biashara mtandaoni.

Unakuta mtu ana duka lake Kariakoo na anawapa vijana bidhaa watagute wateja mtandaoni kwa lengo la kuiuza. Kwa mfano huo utasema hiyo ni Online Business?

Ni muhimu kuielewa kwanza dhana ya e-Business kabla ya kufikiria kulipa Kodi.


Lakini pia wapo ambao hawana maduka kabisa. Bidhaa ziko nyumbani na anafanya delivery only hakuna pick up.

Nadhani atakua anamaanisha hawa.
 
Ni Biashara ngapi za hivyo malipo yanafanyika online kwa kutumia platform husika..., au ni kwamba mtu anaona kitu alafu anasema nitumie pesa kwenye mmpesa yangu..., sasa una-differenciate vipi hio transaction na mtu kumtumia pesa bibi yake ?

Wasianze kukamua ng'ombe kabla ya kumlisha, watengeneze platform nzuri za watu kufanya kazi online alafu wawachaji

Kwa suala la kazi za online au malipo ya kazi yanayolipwa online ni rahisi mlipaji anaweza akakata kabla ya kukulipa au kabla ya kulipwa ukaoorodhesha TIN na makato accordingly...

Kumbuka biashara nyingi bongo ni offline zenye online presence.... (Thinking again about it Biashara nyingi Bongo ni Uchuuzi na Umachinga) watengeneze Sera za kuwapatia watu ajira zenye ujira sio kutaka kuvuna wasipopanda wala kupalilia
 
Inaelekea upeo wako mdogo kwenye online business kwenye imported product product bidhaa inaenda moja kwa moja kwa mteja wa mwisho .Mfano nimeagiza viatu vyangu Italia vya kuvaa .Bandarini nikivitoa nalipa kodi zote ikiwemo VAT tunamalizana

Mfanyabiashara akiagiza city vyake online anapeleka kwenye duka lake kariakoo au kokote hawezi weka dukani kama leseni hana na TRA halipi

Huyo mbunge anachoongea hata haelewi online business ni nini hasa na kodi je unalipa au hailipi? Haelewi concept ya online shop
Mfano kuna kampuni za akiagiza magari Tanzania ziko kibao zimesajiliwa TRA ukiagiza anawalipa commission na TRA wanalipa Kodi kama commission agents
No! hujui unalosema wewe. Tena kadri unavyoendela na mjadala ndipo unazidi kujionyesha unapinga jambo usilojua. Unarukaruka kila pembe bila kuwa na coherent argument. Usilaumu bila kujua unatetea nini

Elewa hivi:
(1) Ukiagiza bidhaa yako popote dunini itabidi ulipie kodi ya forodha kwa viwango vilivyowekwa na serikali. Haiyo haijalishi kama bidhaa hiyo ni kwa matumizi yako binafsi au ni kwa ajili kuuuza. Hiyo kodi ya forodha ni kitu kimoja na inalipwa kwa bidhaa zinazoingizwa nchini kutoka nje tu.

(2) Ukiuza bidhaa yoyote, bila kujali bidhaa hiyo imetoke wapi, unatakiwa ulipie kodi ya mauzo.

(3)Sasa iwapo unauza biadha uliyonunuea kutoka mtu mwngine aliyoegiza bidhaa hiyo kutoka nje, ni lazima msululu wa kodi hizo uwepo. Hata hivyo, serikali imeweka utaratibu wa kuondoa sehemu ya kodi hizo kwa resellers lakini mfumo unatakiwa uwe hivyo.

Kuwa na leseni ya kufanya biashara ni kitu tofauti kabisa na kodi. Leseni ni kibali cha serikali kukuruhusu wewe kufanya biashara, na kodi na malipo serikali yatokanyo na mauzo. Unbaweza kuwa na leseni lakini usiwe na mauzo, hivyo usilipe kodi, lakini huwezi kufanya mauzo bila kuwa na leseni.
 
Lakini pia wapo ambao hawana maduka kabisa. Bidhaa ziko nyumbani na anafanya delivery only hakuna pick up.

Nadhani atakua anamaanisha hawa.
Mama ntilie na machinga au naongelea au unaongelea yupi huyo mganga njaa tu

Kuna watu wana struggle tu kupata chochote waweke tumboni kuwaita watu kama hao kuwa wafanyabiashara na TRA iwatafute iwafikie ni aibu


Anyway nitajie website zao hao
 
No! hujui unalosema wewe. Tena kadri unavyoendela na mjadala ndipo unazidi kujionyesha unapinga jambo usilojua. Unarukaruka kila pembe bila kuwa na coherent argument. Usilaumu bila kujua unatetea nini

Elewa hivi:
(1) Ukiagiza bidhaa yako popote dunini itabidi ulipie kodi ya forodha kwa viwango vilivyowekwa na serikali. Haiyo haijalishi kama bidhaa hiyo ni kwa matumizi yako binafsi au ni kwa ajili kuuuza. Hiyo kodi ya forodha ni kitu kimoja na inalipwa kwa bidhaa zinazoingizwa nchini kutoka nje tu.

(2) Ukiuza bidhaa yoyote, bila kujali bidhaa hiyo imetoke wapi, unatakiwa ulipie kodi ya mauzo.

(3)Sasa iwapo unauza biadha uliyonunuea kutoka mtu mwngine aliyoegiza bidhaa hiyo kutoka nje, ni lazima msululu wa kodi hizo uwepo. Hata hivyo, serikali imeweka utaratibu wa kuondoa sehemu ya kodi hizo kwa resellers lakini mfumo unatakiwa uwe hivyo.

Kuwa na leseni ya kufanya biashara ni kitu tofauti kabisa na kodi. Leseni ni kibali cha serikali kukuruhusu wewe kufanya biashara, na kodi na malipo serikali yatokanyo na mauzo. Unbaweza kuwa na leseni lakini usiwe na mauzo, hivyo usilipe kodi, lakini huwezi kufanya mauzo bila kuwa na leseni.
Umeandika mengi ila kifupi hujui online business ni operate vipi

Umeparamia eneo usilo na uelewa nalo

Sikujibu tena kaa na ujinga wako
 
Sitting allowance za wabunge zianze kutozwa kodi.
Hawa ni wazuri sana kwenye kuibua fursa za kodi kutoka kwa wananchi wanaohangaika.Ni sahihi kiasi fulani.Pia ni wazuri kujipangia na kuiipandishia posho n.k. na kupanga hata waitwe ama watambulike kama nani kiheshima.

Ila linapokuja game kuwageukia wao, lol lol... hapo ndipo utajua mwanasiasa ni mwanasiasa tu siku zote.Blah blah za kutosha.Japo si wote.Ila wengi wao.
 
Hawa ni wazuri sana kwenye kuibua fursa za kodi kutoka kwa wananchi wanaohangaika.Ni sahihi kiasi fulani.Pia ni wazuri kujipangia na kuiipandishia posho n.k. na kupanga hata waitwe ama watambulike kama nani kiheshima.

Ila linapokuja game kuwageukia wao, lol lol... hapo ndipo utajua mwanasiasa ni mwanasiasa tu siku zote.Blah blah za kutosha.Japo si wote.Ila wengi wao.
Sehemu pekee Tanzania ambako wabunge wote wa CCM na upinzani hukubaliana Mia kwa mia ni eneo la posho za bungeni
 
Chungwa bovu huyu.
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Neema amehoji kwa nini biashara za mtandaoni hazitozwi kodi kama biashara nyingine zinazofanyika nje ya mtandao. Mbunge huyo amenukuliwa akisema "Biashara ikifikia mauzo ya 4m, TRA wanatoza Kodi ya 100k/mwaka.

Biashara ikifikia mauzo ya 100m wanasajiliwa VAT na wanatozwa Kodi kulingana na Faida. Kwanini biashara za mtandaoni zisitozwe Kodi hata zikifikia mauzo stahiki? TUJADILI Online vs Offline ✍".

View attachment 2145753

Atupe platform ya kitanzania ambayo mteja analipa direct through payment gateway?

Mind you pesa ikipita kwenye gateway yoyote TRA na serikali wanaitambua.

Aachane social media posts & ads ambazo zinamkutanisha muuzaji na mnunuzi.
Hapa mteja akinunua bidhaa yako anaweza kuhitaji efd receipt au kutohitaji.
 
Mauzo mengi ni ya kutumia PayPal ambako Tanzania hatujafika bado hayo mengine mbunge anaongea ujinga tu

Biashara nyingi za kununua kodi zote ukiagiza nje kodi zote unalipa kabla kuchukua mzigo wako

Mfano unaagiza gari kununua gari online shops kodi zote unalipa kuanzia za bandari, TRA,kila kitu ndio unachukua gari yako hata kupitia kwa agent au online agents walioko Tanzania

Muulize yeyote aliyewahi nunua kitu online duka liwe Amazon nk ambaye kilipofika nchini hakulipa kodi.Tena kodi yake ya kutisha mno.Waweza apa kutoagiza tena kitu cha dola 20 iambayo ni kama elfu 40 za Tanzania mpaka kukitoa waweza lipa kodi ,tozo nk laki moja

Mbunge anaongea vitu hewa hewa tu
Sio kweli, inategemea kimepitia wapi. nishanunua vitu sana ebay na alibaba through international shipping nikaenda kuvichukua posta na hamna alieniuliza. ila vikipitia DHL and the like imekula kwako
 
Hueleweki !

Tambua kuwa unaponunua bidhaa kwenye duka lolote la mtaani unatakiwa hulipia kadi ya mauzo kwa viwango tofauti. Ni vivyo hivyo ukinunua kwenye duka la unline, unatakiwa ulipia kodi kwa viwango vitavytakiwa. Manunuzi hayajali umeimport au umezalisha mwenyewe. Kuna tofauti kati ya bei za imported goods na bei za locally produced goods kwa vile bei za imported goods zitajumuisha freight, pamoja na kodi za customs ili mwenye duka aweze kupata faida.

Hii ya kuuza mishikaki, dawa za kimasai na mengineyo ni kuzungukazunguka kukwepa ukweli tu. Kodi ni mojawapo ya contract kati ya mwanachi na serikali. Ni afadhali ushauri kuwa serikali ipunguze kodi za mauzo, lakini siyo kuwa mauzo mengine yalipe kodi wakati mengine hayalipi kodi.
Mkuu issue ni kwamba online business Bongo haija-mature kutokana na Utapeli na watu wengi kuwa waoga na bado hakuna friendly facilities za payment gateways ambazo mtu analipa palepale na pesa kuingia kwenye platform Tukichukulia mfano wa platforms kama alibaba au ebay (ambayo inawaunganisha wauzaji na wanunuzi) wote wakiwa wamesajiliwa wale sellers wanafahamika na mauzo yanaeleweka ni rahisi kuwabana kulipa kodi..., na platform as a business pia italipa kodi...,

Tukija huku mfano kama huo labda ni kama KUPATANA au Insta / whatsapp au tangazo humu JF watu wanaongea alafu wanaenda kumalizana wanapojua..., Hence huenda biashara hizo ni ndogo kama mtu kuuza simu yake used, laptop used au hata ya wizi..., au ni maelekezo tu ya kwamba napatikana wapi offline ili mtu anifuate niweze kumlipa nikiwa huko......

Kwahio Serikali isingeharibu kuanzia mwanzo kufanya digital payments kuendelea kuwa affordable huenda watu wengi wauzaji hata wadogo wangeweka option ya malipo online ili yawe tracked (though hata hapo uaminifu na wizi wa wabongo ni wangapi watalipa pesa kabla ya kuona mzigo) ?, Au kama payments zitakuwa na makato makubwa kwanini asimrushie Mmpesa / Tigopesa offline ili wamalizane ?

Utaona kwamba as is with many things nchi hii Serikali inalikoroga kwa uroho wake wa kutaka kuvuna bila kupanda hivyo kupelekea ukuaji wa hizi sekta kusuasua....;

Pia kuna Offline Businesses with Online Presence Na Kama ni kampuni kubwa Online si bado mnunuzi atapata risiti hence kuonyesha mzigo umetoka accordingly (Pia Kampuni zote za Betting, Tickets, Universities n.k.) zinafanya kazi online na zinalipa Kodi accordingly kutokana na kwamba wana mfumo tayari wa payment gateways ambazo bado zinakuwa cheaper na Serikali huko inapata pesa yake husika...
 
Sio kweli, inategemea kimepitia wapi. nishanunua vitu sana ebay na alibaba through international shipping nikaenda kuvichukua posta na hamna alieniuliza. ila vikipitia DHL and the like imekula kwako
Kwa hiyo hukulipa kodi.posta ?
 
Back
Top Bottom