Mbunge: Nyama ya ng’ombe ni gharama sana Zanzibar, kilo moja Tsh. 13,000

Mbunge: Nyama ya ng’ombe ni gharama sana Zanzibar, kilo moja Tsh. 13,000

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Mbunge wa Jimbo la Chaani – Zanzibar, Juma Usonge Hamad akichangia mada Bungeni akidai bei ya nyama ya ng’ombe kwa upande wa Zanzibar ni gharama na kuwa Kilogramu moja inauzwa kuanzia Tsh. 13,000 na kuendelea.

Amesema “Wizara haijaamua kusamehe tozo ambazo zinatozwa kwa ng’ombe wanaopelekwa Zanzibar na kuwa kichefuchefu, baadhi ni Tozo ya Wizara ya Mifugo, ya Halmashauri, ya Kijiji, ya TRA, ya TPA na Tozo ya ‘export leave’ ambayo hata mtu wa Kenya akinunua ng’ombe Tanzania anachajiwa.”
 
Mifugo hakuna huko yeye anategemea nini?
Anafikiri nyama itakuwa gharama nafuu

Ova
 
Back
Top Bottom