johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakuwepo mwakani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhMi CCM yote ni mijizi tu. Amwambie kwanza diwani wake wa Langai Leskar Sipitek mwenye namba 0767-540130 arudishe mashamba ya George na aache kuonea wakulima.
Tena upunguani 100%Unasifia Samia kisha unaonyesha jinsi serikali yake ilivyojaa majizi. Huo ni upunguani
Ajiuzulu Nani? Wanasema hadi waelekezwe mlango wa kutokea.Tena upunguani 100%
At least angesema ajiudhuru ningemwona wa maana
Utamtenganishashe Samia na watumishi wabadhirifu walio ndani ya Serikali yake!?
Aiseeh wamempora .....Mi CCM yote ni mijizi tu. Amwambie kwanza diwani wake wa Langai Leskar Sipitek mwenye namba 0767-540130 arudishe mashamba ya George na aache kuonea wakulima.
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza fanyia kazi ripoti ya CAG ,thus why huwa inatupwa kwenye dustbin , ni story flan hv ya kuwafanya watanzania wawe busy na kuongeaAnapika data kwa madhumuni gani hasa?!
Kuisaidia serikali, au kuumiza watu?!
Anaporwaje shamba na Diwani? Hawezi kuitafuta haki yake kwingine? Kama huyo Diwani yupo juu ya sheria serikali iarifiwe, haitoshindwa.Aiseeh wamempora .....
Ina maana imejaa uzushi? Ofisi hiyo iwe ya Kwanza kufutwa kabla ya kuyafuta mashirika yasiyo na tija.Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza fanyia kazi ripoti ya CAG ,thus why huwa inatupwa kwenye dustbin , ni story flan hv ya kuwafanya watanzania wawe busy na kuongea
Sendeka ni mzee Makini na mzalendo sana kwenye Siasa zake.Sendeka sio mchezo ila hapa naona shida iko juu
USSR
Unasifia Samia kisha unaonyesha jinsi serikali yake ilivyojaa majizi. Huo ni upunguani
Muda wa kupiga pesa huu nani asiyewajua 'ccm ukoo wa panyaSendeka ni mzee Makini na mzalendo sana kwenye Siasa zake.
Duuuhhh, bora umesema kwa kumalizia "labda" ili wasomi wa CUBA tuweze kukuelewaNdio sababu Ndugai aliamua kumkagua CAG mwenyewe maana kama Ripoti yake haifanyiwi Kazi maana yake anapika data labda!
Mkwara mbuzi tu huu, hawana lolote na hawawezi kuchukua hatua zozote, wizi mkubwa ni chama kinahusika. Kama Pesa za 10% ni za madiwani wao ndio wenye power nazo na hawawezi kufanya lolote sababu ndio chawa wao. Shida kubwa ni Chama ndio waliokuwa wanatetea wakati tunapinga na walikuwa wanasema wanatekelza ilani yao. Presidaa mwenyewe anataka wakae kitako, we uliona wapi mambo hayaKtk Azimio Maalum la Kumpongeza Rais Samia kwa uongozi mzuri, kupitia Bunge la 12 mkutano wa 11 kikao cha Kwanza, Ole Sendeka awasha Moto.
Alianza kwa kumsifia Sana Rais Samia lakini mwishoni akaanza kwa kulaumu waliotajwa Ubadharifu Ripoti ya CAG kuenedelea ofisini hadi Sasa.
Kadai wasipojiuzulu na kujisalimisha, Basi kupitia Mkutano huu Bunge lifanye maamuzi dhidi ya wenye viburi na jeuri hao.
Amemtaka Rais achukue hatua vinginevyo yeye kwa kutumia Bunge hili atashawishi wabunge wachukue hatua juu ya watumishi mafisadi.
Wabunge wengine pia wamekuwa na mawazo Kama ya Sendeka na kudai Tanzania hakuna mtu wa kujiuzulu hadi tu aoneshwe mlango wa kutokea. Wamedai wakati wa Bunge kuonesha Meno yake ni Sasa.
Waliounga miongoni mwao ni kitila Mkumbo aliyechangia baada ya Sendeka, Saashisha Mafue, Mwakasaka na wengine wengi.
Yeye mwenyewe anataka kudhulumu shamba la marehemu yese,sasa anatofauti gani na hao wapigajiKtk Azimio Maalum la Kumpongeza Rais Samia kwa uongozi mzuri, kupitia Bunge la 12 mkutano wa 11 kikao cha Kwanza, Ole Sendeka awasha Moto.
Alianza kwa kumsifia Sana Rais Samia lakini mwishoni akaanza kwa kulaumu waliotajwa Ubadharifu Ripoti ya CAG kuenedelea ofisini hadi Sasa.
Kadai wasipojiuzulu na kujisalimisha, Basi kupitia Mkutano huu Bunge lifanye maamuzi dhidi ya wenye viburi na jeuri hao.
Amemtaka Rais achukue hatua vinginevyo yeye kwa kutumia Bunge hili atashawishi wabunge wachukue hatua juu ya watumishi mafisadi.
Wabunge wengine pia wamekuwa na mawazo Kama ya Sendeka na kudai Tanzania hakuna mtu wa kujiuzulu hadi tu aoneshwe mlango wa kutokea. Wamedai wakati wa Bunge kuonesha Meno yake ni Sasa.
Waliounga miongoni mwao ni kitila Mkumbo aliyechangia baada ya Sendeka, Saashisha Mafue, Mwakasaka na wengine wengi.