Ni walewale tusishangae hakuna litakalofanyika.! Tutamkumbuka!Sendeka sio mchezo ila hapa naona shida iko juu
USSR
Ndiye aliweza haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni walewale tusishangae hakuna litakalofanyika.! Tutamkumbuka!Sendeka sio mchezo ila hapa naona shida iko juu
USSR
Ndio inavyotakiwaKtk Azimio Maalum la Kumpongeza Rais Samia kwa uongozi mzuri, kupitia Bunge la 12 mkutano wa 11 kikao cha Kwanza, Ole Sendeka awasha Moto.
Alianza kwa kumsifia Sana Rais Samia lakini mwishoni akaanza kwa kulaumu waliotajwa Ubadharifu Ripoti ya CAG kuenedelea ofisini hadi Sasa.
Kadai wasipojiuzulu na kujisalimisha, Basi kupitia Mkutano huu Bunge lifanye maamuzi dhidi ya wenye viburi na jeuri hao.
Amemtaka Rais achukue hatua vinginevyo yeye kwa kutumia Bunge hili atashawishi wabunge wachukue hatua juu ya watumishi mafisadi.
Wabunge wengine pia wamekuwa na mawazo Kama ya Sendeka na kudai Tanzania hakuna mtu wa kujiuzulu hadi tu aoneshwe mlango wa kutokea. Wamedai wakati wa Bunge kuonesha Meno yake ni Sasa.
Waliounga miongoni mwao ni kitila Mkumbo aliyechangia baada ya Sendeka, Saashisha Mafue, Mwakasaka na wengine wengi.
Huo uongozi mzuri unapimwaje ili hali wizi anaubariki yeye raisKtk Azimio Maalum la Kumpongeza Rais Samia kwa uongozi mzuri, kupitia Bunge la 12 mkutano wa 11 kikao cha Kwanza, Ole Sendeka awasha Moto.
Alianza kwa kumsifia Sana Rais Samia lakini mwishoni akaanza kwa kulaumu waliotajwa Ubadharifu Ripoti ya CAG kuenedelea ofisini hadi Sasa.
Kadai wasipojiuzulu na kujisalimisha, Basi kupitia Mkutano huu Bunge lifanye maamuzi dhidi ya wenye viburi na jeuri hao.
Amemtaka Rais achukue hatua vinginevyo yeye kwa kutumia Bunge hili atashawishi wabunge wachukue hatua juu ya watumishi mafisadi.
Wabunge wengine pia wamekuwa na mawazo Kama ya Sendeka na kudai Tanzania hakuna mtu wa kujiuzulu hadi tu aoneshwe mlango wa kutokea. Wamedai wakati wa Bunge kuonesha Meno yake ni Sasa.
Waliounga miongoni mwao ni kitila Mkumbo aliyechangia baada ya Sendeka, Saashisha Mafue, Mwakasaka na wengine wengi.
haaaahhhaaahhhhWabunge nao wajiuzuru kwa wizi wa kura uchaguzi wa 2020
Kitendawili hicho, ndiyo maana baadhi ya wabunge hawakuficha unafiki wao japo ni wanafiki.Huo uongozi mzuri unapimwaje ili hali wizi anaubariki yeye rais