Pre GE2025 Mbunge Ole Sendeka katika bifu kali na RC Sendega agoma kumpigia magoti, magoti yake atayapiga kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu bogasi, sasa kama yu radhi kupiga magoti kwa rais, kwanini ashindwe kupiga magoti kwa muwakilishi wa rais mkoani. Ama ndio Uchawa kwa raisi kama mtu na sio kwa mamlaka ya uraisi wenyewe.
 
Ndio umuhimu wa Viongozi wa Mkoa kuchaguliwa unaonekana sasa, mpambano wa Kiongozi wa kuchaguliwa na Kiongozi wa kuteuliwa nani zaidi.
 
Naona watu wanamshambulia mtoa hoja Ole Sendega badala kusikiliza, kuielewa na kujadili hoja yake...

TUKIRUDI KWENYE HOJA, ni kuwa, mimi naona tatizo kubwa zaidi la viongozi kugeuka miungu watu, untouchable...

Na ni Tanganyika tu kuwa kiongozi wa kuja au kuteuliwa na Rais anaweza kumwamuru kiongozi wa kuchaguliwa na wananchi ampigie magoti...!!!

Iweje kiongozi kama Mkuu wa Mkoa (RC) atumie madaraka yake vibaya (abuse of power) kwa kuonea watu? Hii impunity inatoka wapi?

Polisi nao ni Kwanini wanatii amri haramu ya RC kwa kuwa detain watu wasio na makosa na kinyume cha sheria kwenye selo zao..?
 
Wakubaliane tu either Sendega aondoe "g" aweke "k" au Mzee Sendeka aondoe "k" aweke "g" wawe kitu kimoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…