Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Kesi ya jinai mtuhumiwa anaitwa mahakamani badala kuwekwa chini ya ulinzi
Mchezo gani huo kwel wahaya tunabania hiviMchezo wake pendwa alishauacha? Namkumbuka enzi zile. Kwenye sekta ile mtaalamu sana. Ndugu yangu Mkurugenzi Idara ya Wakimbizi miaka ile kafaidi sana walikutana wadau mchezo pendwa .
Nje ya jelaKwa matajiri ndiyo pakoje?
watamrudisha
"Nolle prosequi" ndo imeshatoka hiyo. Hakuna kuulizwa wala kutoa sababu kwa nini kaamua kufanya hivyo.Ndo kitakacho kuwepo hapa.
Kazi kweli kweli
uko sahihiHii issue ilivyoshughulikiwa, mimi sitegemei sana kuwa haki itatendeka. Nadhani kule kutumbuliwa uwaziri ''wenye nchi'' wanadhani inatosha. Nasema hivi kwa sababu makosa anayotuhumiwa ni makubwa na yako dhahiri kiasi ambacho angekuwa ''kamchape'' ungekuta alishafikishwa mahakamani siku nyingi na kunyimwa dhamana na kesi kuahirishwa mpaka ndama watakapoota meno ya juu.
Acha Tuone Ila CCM Haiamini