HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Huishi majungu
Njaa itakuua wewe
Njaa itakuua wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nouma sanavirus wapo kila eneo awamu hii ya kishindo!
Hivi Chadema ni akina nani maana kila mtu anatoa ushauri Kwa Chadema au ni kikundi fulani cha watu, nakanganyikiwa zaidi pale napoambiwa Chadema ni mioyo ya watz...ngoja nione hizi dramaHuyu mwanamama mliomuamini na kumpa nafasi ya kugombea kupitia chama chenu na akafanikiwa kupenya, huenda sio mwezunu/nwwenzetu bali ni mtu wa system aliekuwa na kazi maalumu ya kufanya ndani ya chama na ndio maana kapenya.
Hivyo,nawashauri muwe nae macho sana kwani anaweza kuwavuruga wakati wowote.
Huyo mwanamama hata watu wa chama cha mbogamboga nao nahisi watakiwa hawamjui.
Hajapita bure huyo!
Ana bonge la mwanya na dimpoz for pozi
Kawageuka wenzie kama Lamwai alivyofanya kule NCCR na Silver spoon yake.
Siasa sio uadui.
Eti Nkasi ikaachiwa!! Hivi we unadhani ilikua jambo rahisi kumshinda mzee Kessy? Au unadhani alipenda kushindwa? Ona huyu!!Kwa aina ya wizi na nguvu iliyotumika, kwa kweli lazima mtu ujiulize kwa nini Nkasi ikaachiwa. Na kwa nini analazimisha kwenda bungeni? Na kwa nini amehudhuria kuapishwa kwa Magufuli?
Hapo ndo unakuja kugundua ubovu wa vyama vya upinzani Tanzania hasa hawa Wahuni chademaEti Nkasi ikaachiwa!! Hivi we unadhani ilikua jambo rahisi kumshinda mzee Kessy? Au unadhani alipenda kushindwa? Ona huyu!!
Ndugai uzurI ndio spika mtarajiwa, huwa ana namna ya kuwasaidia Wahanga wa kufukuzwa kwenye vyama vyaoAcha ale mema ya nchi kila mtu uwa ana mipango yake. Yeye huenda katumwa na familia akaikomboe kupitia atakachoambulia kwenye ubunge.
Yaan chama cha kijinga sana hiki kuwahi kutokea TanzaniaMkuu tuwe wakweli hivi angepita Mbowe angejivua ubunge?
Ni kambale kwa mujibu wa Duni HajiHvi Chadema ni akina nan maana kila mtu anatoa ushauri Kwa Chadema au ni kikundi fulan cha watu , nakanganyikiwa zaidi pale napoambiwa Chadema ni mioyo ya watz...ngoja nione Hz drama