Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kulipia tozo au kodi kubwa kwaajili ya maendeleo ni jambo la kawaida kwa nchi yoyote inayoendelea.. Tatizo ni kwamba unaiamini serikali yako kutumia hayo makusanyo kwa uadilifu na yakafanye kazi husika? Jibu ni hapana.
kabisa umeongeq vizuri mkuu
 
MAma yupo seoul atuletee hela na series 4 kali za korea, tbc, itv, star tv na utv wapewe mojamoja kuonesha
Yaliyojaa kichwani mwako unayajua mwenyewe🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Wakate tu fresh...itatumika kwenye safari ya mama kwenda Canada akiambatana na kundi la wasaniii 50 wanadiplomasia 120 walinzi 45 wasadizi 50 wafanyabiiashara 15
 
Hii nchi inahitaji mabadiliko ya haraka ya kisiasa. Bila kufanya hivyo, wananchi walio wengi watageuka kuwa vichaa. Maana siyo kwa kupandisha presha huku.
Ingekuwa nchi za wenzetu huko kwa wanaojielewa kwa level hii tu ya inflation rais angeshawekwa kikaangoni
 

Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini.

Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameanza kwa kushauri mfuko huo kubuni njia mpya ya upatikanaji wa fedha.

“Tumekuwa tukisaini barabara mpya kila kukicha barabara kongwe hazipitiki na naendelea kusisitiza Road Fund iangalie chanzo kipya tumeona katika bajeti ya taknolojia na habari walisema laini ambazo ziko active ni milioni 72 sasa ni wakati wa kuona kama ni katika kupitia chanzo cha simu tunaweza kupata kwa kila laini Tsh. 50 ili iweze kuisaidia Road Fund na hili inabidi tuongee ukweli tatizo la kiuzalendo na tunapoendelea mbele tuangalie tunaisaidiaje Road Fund”

PIA SOMA
- Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
Huyo mbunge alipe kodi kwanza.
 
Back
Top Bottom