uko dp world ndo usiguse kabisaaWalisemaga DP world atafanya mapato ya Bandari pekee yatosheleze Bajeti ya Nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko dp world ndo usiguse kabisaaWalisemaga DP world atafanya mapato ya Bandari pekee yatosheleze Bajeti ya Nchi
uko dp world ndo usiguseWalisemaga DP world atafanya mapato ya Bandari pekee yatosheleze Bajeti ya Nchi
sio poaUkimaliza kulia, utakatwa tsh 50 barabara zijengwe......
kwel kabisakula nyama nyamaza,
utakufa na pressure kwa hii SERIKALI
kabisa umeongeq vizuri mkuukulipia tozo au kodi kubwa kwaajili ya maendeleo ni jambo la kawaida kwa nchi yoyote inayoendelea.. Tatizo ni kwamba unaiamini serikali yako kutumia hayo makusanyo kwa uadilifu na yakafanye kazi husika? Jibu ni hapana.
hawataki ata kuziongeleaa😀Hawa wajinga hawataki posho zao zikatwe hata kidogo
hili nalo nenoWangefanya kila account ya whatsap ilipie buku kwa mwaka ingekua pesa nzuri.Ila kwa line bibi zangu vijijini wataweza kweli.
Yaliyojaa kichwani mwako unayajua mwenyewe🤣🤣MAma yupo seoul atuletee hela na series 4 kali za korea, tbc, itv, star tv na utv wapewe mojamoja kuonesha
wanajijali wao tuHii nchi inahitaji mabadiliko ya haraka ya kisiasa. Bila kufanya hivyo, wananchi walio wengi watageuka kuwa vichaa. Maana siyo kwa kupandisha presha huku.
sasa ayo ni matumizi sahihi ya kodi kaka?Wakate tu fresh...itatumika kwenye safari ya mama kwenda Canada akiambatana na kundi la wasaniii 50 wanadiplomasia 120 walinzi 45 wasadizi 50 wafanyabiiashara 15
Utafanyaje sasa hata kama utajua ni sahihi au siyo sahihi?sasa ayo ni matumizi sahihi ya kodi kaka?
Wajinga ndio waliwao.Walisemaga DP world atafanya mapato ya Bandari pekee yatosheleze Bajeti ya Nchi
Ingekuwa nchi za wenzetu huko kwa wanaojielewa kwa level hii tu ya inflation rais angeshawekwa kikaangoniHii nchi inahitaji mabadiliko ya haraka ya kisiasa. Bila kufanya hivyo, wananchi walio wengi watageuka kuwa vichaa. Maana siyo kwa kupandisha presha huku.
Huyo mbunge alipe kodi kwanza.
Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini.
Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameanza kwa kushauri mfuko huo kubuni njia mpya ya upatikanaji wa fedha.
“Tumekuwa tukisaini barabara mpya kila kukicha barabara kongwe hazipitiki na naendelea kusisitiza Road Fund iangalie chanzo kipya tumeona katika bajeti ya taknolojia na habari walisema laini ambazo ziko active ni milioni 72 sasa ni wakati wa kuona kama ni katika kupitia chanzo cha simu tunaweza kupata kwa kila laini Tsh. 50 ili iweze kuisaidia Road Fund na hili inabidi tuongee ukweli tatizo la kiuzalendo na tunapoendelea mbele tuangalie tunaisaidiaje Road Fund”
PIA SOMA
- Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
Tuna bunge la kijinga haswahawataki ata kuziongeleaa😀
Zinapigwa na wajanjaHivi zile Faini trafiki wanakusanyaga barabarani kwa makosa mbali mbali ya magari uwa zinaenda kufanya kazi gani?
Wakituma tu sms zao, wanakatwa! Ahahahahaha!!!utawapatia wapi wale sasa 😀