Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Enzi zetu zile kwenye kila bajeti lazima Kodi iongezwe kwenye bia, sigara na vitu kama hivyo wenyewe wakiviita vya anasa. Baadae wananchi wakapata ufahamu kuhusu madhara ya pombe na pia tumbaku, wapunguza sana matumizi ya vitu hivyo. Matokeo yake mapato ya Kodi yaliyotokana na vitu hivi yakapungua sana. Kwa sasa baada ya kuona wananchi wengi wanatumia simu hizi za mikononi, Bunge limehamishia Kodi zake sehemu hiyo. Ujenzi wa shule, reli nk yote hayo yanategemea Kodi zitokazo huko. Wakumbuke hata hii itafika mahali watakwama. Wajitahidi kubuni vyanzo vingine bila kuumiza wengi wa wananchi.
 
Kila laini ikatwe Tsh. 50 kwa muda gani?
Ikatwe kila Mwaka, Mwezi, Wiki, Siku, Saa, Dakika au Sekunde ?
Kamilisha habari yako.
 
Wanatafuta sehemu nyingine ya kufyeka fyeka kabisa sizani Kawa watutakia mema hawa mishahara wajiongezee harafu tena watoze wananchi kweli
 
Naunga mkono hoja,hakuna mjomba wa kujenga Nchi hii ,watu wanataka Barabara ila hawataki kuchangia pesa za ujenzi, unadhani pesa itashuka na mvua?
Hivi mnafahamu hata yanayoendelea nchini kweli?
Road fund ipo kwenye kodi ya mafuta, yani inalipwa na hata wanaowasha majenereta ya umeme, mbunge hana hata taarifa ya anachojengea hoja.
Ubunge wa Viti maalumu ni kama laana tu, unajaza bungeni watu amabo hawana hoja za maana zaidi ya kujipemdekeza kwa wakubwa.
 
Hivi mnafahamu hata yanayoendelea nchini kweli?
Road fund ipo kwenye kodi ya mafuta, yani inalipwa na hata wanaowasha majenereta ya umeme, mbunge hana hata taarifa ya anachojengea hoja.
Ubunge wa Viti maalumu ni kama laana tu, unajaza bungeni watu amabo hawana hoja za maana zaidi ya kujipemdekeza kwa wakubwa.
Wewe kuwa na akili, Waziri kaeleza vizuri tuu kwamba Road fund inatosheleza asilia 40% ya mahitaji ya matengenezo.

Traffic Zinazidi kujua ,uharibu inaongezeka so unategemea Nchi itasalia na kiwango hicho hicho Cha Bajeti?
 
Umtoe nishai nani wewe chawa na akili yako kisoda,hapa tunajadili changamoto zetu hayo ya nchi nyingine yanahusiana nini na udhaifu wa bunge letu? Utaahira wako jadili na chawa wenzako ambao wanaona watawala ni malaika na hawakosei.
Wewe mbumbumbu kama unajua ni Changamoto zenu na hakuna mjomba unataka nani akutolee pesa? 😂😂

Unaruka Rukwa kama chura
 
Wewe kuwa na akili, Waziri kaeleza vizuri tuu kwamba Road fund inatosheleza asilia 40% ya mahitaji ya matengenezo.

Traffic Zinazidi kujua ,uharibu inaongezeka so unategemea Nchi itasalia na kiwango hicho hicho Cha Bajeti?
Ungekuwa na akili ungeanza kwanza na report ya Cag,
Kama upigaji ni mkubwa unategemea hata hiyo road fund itapona?
Unafahamu kuwa kadiri volume ya mafuta inavyo kuwa kubwa na hiyo kodi nayo inakuwa? Una hata data za Tra kuonesha kuwa kweli kinachokufanywa ni 40% au unasikiliza tu na kuimba kama kasuku.
Kwa upeo wako hata Waziri akikwbia kuwa mwaka huu hakuna road fund utakubali tu.
 
Ungekuwa na akili ungeanza kwanza na report ya Cag,
Kama upogaji ni mkubwa unategemea hata hiyo road fund itapona?
Unafahamu kuwa kadiri volume ya mafuta inavyo kuwa kubwa na hiyo kodi nayo inakuwa? Una hata data za Tra kuonesha kuwa kweli kinachokufanywa ni 40% au unasikiliza tu na kuimba kama kasuku.
Kwa upeo wako hata Waziri akikwbia kuwa mwaka huu hakuna road fund utakubali tu.
Upigaji mkubwa upi? Ripoti ya CAG imefanyaje?

Pili ona ambavyo huna akili,Road fund hawapokei hela TRA Bali zinaingia kwenye account Yao BoT ,Makusanyo ya Road Fund ni Bil.800 ,hizo Bil.800 Zina cover only 40% ya mahitaji,Mimi sio wewe Huwa naongea na data.Soma Bajeti ya Ujenzi utaona.

Kwa hiyo Tuache uchumi wa Nchi uanguke kisa mjinga mmja anaongea pumba? Haiwezi tokea
 
Back
Top Bottom