Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
IPO siku Tutawatoo....ZAA USHURU na wao na kizazi chao
 
Upigaji mkubwa upi? Ripoti ya CAG imefanyaje?

Pili ona ambavyo huna akili,Road fund hawapokei hela TRA Bali zinaingia kwenye account Yao BoT ,Makusanyo ya Road Fund ni Bil.800 ,hizo Bil.800 Zina cover only 40% ya mahitaji,Mimi sio wewe Huwa naongea na data.Soma Bajeti ya Ujenzi utaona.

Kwa hiyo Tuache uchumi wa Nchi uanguke kisa mjinga mmja anaongea pumba? Haiwezi tokea
Angalia ulivyo shallow kwenye taarifa!!
Tra ndio mkusanyaji wa hiyo kodi maana ndiye anayejua mafuta yameingizwa kiasi gani, huko Bot wanapokea fedha kwa mujibu tu wa data za Lita za mafuta yaliyoingia nchini
Kwanini nakuona wewe ni mjinga? Maana umekuja hapa na fixed amount kabisa!! Bil 800!! Kana kwamba volume ya mafuta inayoingizwa ni constant kila mwaka!.
 
Kila mbunge akatwe 20mln kwenye vinyoosha mgongo vyao wanavyotarajia karibuni tujenge barabara, tuanzishe mchakato wa katiba mpya,tununue basi za mwendohasi,tumalizie barabara za mwendokasi na sgr🤗
Mkuu edit hapo... Malizia na "Hapo vipi?!"

😂😂😂🙌
 

Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini.

Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameanza kwa kushauri mfuko huo kubuni njia mpya ya upatikanaji wa fedha.

“Tumekuwa tukisaini barabara mpya kila kukicha barabara kongwe hazipitiki na naendelea kusisitiza Road Fund iangalie chanzo kipya tumeona katika bajeti ya taknolojia na habari walisema laini ambazo ziko active ni milioni 72 sasa ni wakati wa kuona kama ni katika kupitia chanzo cha simu tunaweza kupata kwa kila laini Tsh. 50 ili iweze kuisaidia Road Fund na hili inabidi tuongee ukweli tatizo la kiuzalendo na tunapoendelea mbele tuangalie tunaisaidiaje Road Fund”

PIA SOMA
- Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
hizi zaa mafuta hazitoshi? Serikali vihiyo, mnakula rushwa kwa wafanyabiashara na kuwatwisha mzigo wa kodi wananchi.

Huko majimboni tuwaulize wabunge, serikali haina akili kupata mapato zaidi ya kuwatoza wananchi?
 
Angalia ulivyo shallow kwenye taarifa!!
Tra ndio mkusanyaji wa hiyo kodi maana ndiye anayejua mafuta yameingizwa kiasi gani, huko Bot wanapokea fedha kwa mujibu tu wa data za Lita za mafuta yaliyoingia nchini
Kwanini nakuona wewe ni mjinga? Maana umekuja hapa na fixed amount kabisa!! Bil 800!! Kana kwamba volume ya mafuta inayoingizwa ni constant kila mwaka!.
Inangia automatically kwenye lisiti inaonekana ,hiyo pesa Iko reinforced hakuna Cha TRA Wala nani..
Acha utoto pesa Iko around 800s bln,ongezeko sio zaidi ya 10bln Kwa mwaka so ni sahihi kabisa Kutaja hiyo figure.

Hoja ya msingi ni pesa haitoshi
 
Inangia automatically kwenye lisiti inaonekana ,hiyo pesa Iko reinforced hakuna Cha TRA Wala nani..
Acha utoto pesa Iko around 800s bln,ongezeko sio zaidi ya 10bln Kwa mwaka so ni sahihi kabisa Kutaja hiyo figure.

Hoja ya msingi ni pesa haitoshi
Inaingia automatically bila kujua tax base au siyo?
Imekuwa reinforced hewani tu kwenye risiti bila kuwa na data base ya mafuta yaliyoingia?, unaelewa kazi ya zile flow meter pale kurasini and what they mean kwenye taxi collection?
Road fund inakwatwa shilingi 313 kwa kila Lita inayouzwa, unalijua Hilo? Au unadhan hiyo bil 800 ni kama gawio la hisa tu
Naona nakufundisha tu , wala Sidhani kama Uko kwenye uwezo wa kuelewa.
Kadiri tunavoendelea naona unazidi kuonesha jinsi ulivyo mweupe kwenye uelewa wa mambo, bila Tra hiyo kodi haikusanyiki.
 
kulipia tozo au kodi kubwa kwaajili ya maendeleo ni jambo la kawaida kwa nchi yoyote inayoendelea.. Tatizo ni kwamba unaiamini serikali yako kutumia hayo makusanyo kwa uadilifu na yakafanye kazi husika? Jibu ni hapana.
 
Hii nchi inahitaji mabadiliko ya haraka ya kisiasa. Bila kufanya hivyo, wananchi walio wengi watageuka kuwa vichaa. Maana siyo kwa kupandisha presha huku.
 
naona kila mtu sasa anabamwa mbavu sasa hapo ndio wataongea lugha moja na kufanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom